Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

soon litapaki tuu 😁😁😁
IMG_20240909_214310.jpg
 
nenda ukalie mbali sana na mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wewe ni fala.
Nilie kisa nini??
Mradi unaendelea vizuri na kuonesha kuimarika kila leo.
Wataka nilie for what!??
Maumivu yakizidi muone daktari.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wewe ni fala.
Nilie kisa nini??
Mradi unaendelea vizuri na kuonesha kuimarika kila leo.
Wataka nilie for what!??
Maumivu yakizidi nitamuona daktari.
pole sana 😁😁😁
 
Hakuna tatizo katika hizo locomotives.
Na changamoto inasemekana haikuwa ya kiufundi,bali ilikua ikingojea treni yenzake ipite.
unaona ulivyo mjinga mjinga sasa unadhani kuna watoto wadogo hapa. dude limezima saa kumi na moja, hakuna taarifa yoyote wanayotoa na instead wakaanza kuwanyang'anya abiria simu zao wasiweze kupiga picha au video.
departure times za stesheni zengine zikawa zinasongezwa.
from saa kumi na moja mpaka saa tano usiku (6hrs), hiyo treni "yenzake" ilikua inatokea wapi/ inaelekea wapi?
 
unaona ulivyo mjinga mjinga sasa unadhani kuna watoto wadogo hapa. dude limezima saa kumi na moja, hakuna taarifa yoyote wanayotoa na instead wakaanza kuwanyang'anya abiria simu zao wasiweze kupiga picha au video.
departure times za stesheni zengine zikawa zinasongezwa.
from saa kumi na moja mpaka saa tano usiku (6hrs), hiyo treni "yenzake" ilikua inatokea wapi/ inaelekea wapi?
Naskia hiyo treni ilikuwa inangoja ilikuwa imebeba watanzania wote na warwanda piaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hakuna tatizo katika hizo locomotives.
Na changamoto inasemekana haikuwa ya kiufundi,bali ilikua ikingojea treni yenzake ipite.
ww jamaa hujielewi!
masaa sita treni inasubiri kupishana msituni??? πŸ€­πŸ˜‚πŸ˜‚.
ng'ombe ww. hebu check hapa πŸ‘‡
GXHGsFIWcAA_CM5.jpeg
 
Uloleta wewe taarifa ya pili.
Taarifa ya kwanza imesema kwasababu ya mpishano.
Na treni haijakwama msituni bali kituoni.
lete hiyo taarifa ya kwanza hapa kila mtu aione πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
yaani unaona watu ni wajinga kiasi gani.... mpishano gani huo unachukua masaa sita???
 
Na treni haijakwama msituni bali kituoni.
treni ikiamua kukwama, haichagui pa kukwamia. kama ilikwamia kituoni, kwanini bado uwazuie watu mateka na kuwa-harass... bila chakula, bila maji na hakuna kushika simu?
 
Back
Top Bottom