Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changamoto za kiufundi ni kawaida.soon litapaki tuu πππ
View attachment 3091929
nenda ukalie mbali sana na mimi πππChangamoto za kiufundi ni kawaida.
Pia treni sio moja zipo zaidi ya tatu au nne.
Huu mradi bado mpya wala haina shida katika hilo.
wachekeshwa na nn bro...?ππ Me nacheka tuu
ππππππWewe ni fala.nenda ukalie mbali sana na mimi πππ
sio taharuki. wacha dunia nzima ijue. dunia ya sasa huwezi mficha mtu ππHii mbona ishaletwa zamani?
Kwanini mnawapa watu taharuki?
pole sana πππππππππWewe ni fala.
Nilie kisa nini??
Mradi unaendelea vizuri na kuonesha kuimarika kila leo.
Wataka nilie for what!??
Maumivu yakizidi nitamuona daktari.
bro, this is so shameful to say the least. yaani binadamu mzima unakua treated kama kuku wa grade???Hakuna situation mbaya mkwame kwenye treni na wasifungue milango
Unabadilisha maneno yangu kujifariji!?pole sana πππ
mbona ume-edit tena?Unabadilisha maneno yangu kujifariji!?
Kweli Kenya matapeli.
unaona ulivyo mjinga mjinga sasa unadhani kuna watoto wadogo hapa. dude limezima saa kumi na moja, hakuna taarifa yoyote wanayotoa na instead wakaanza kuwanyang'anya abiria simu zao wasiweze kupiga picha au video.Hakuna tatizo katika hizo locomotives.
Na changamoto inasemekana haikuwa ya kiufundi,bali ilikua ikingojea treni yenzake ipite.
Naskia hiyo treni ilikuwa inangoja ilikuwa imebeba watanzania wote na warwanda piaππunaona ulivyo mjinga mjinga sasa unadhani kuna watoto wadogo hapa. dude limezima saa kumi na moja, hakuna taarifa yoyote wanayotoa na instead wakaanza kuwanyang'anya abiria simu zao wasiweze kupiga picha au video.
departure times za stesheni zengine zikawa zinasongezwa.
from saa kumi na moja mpaka saa tano usiku (6hrs), hiyo treni "yenzake" ilikua inatokea wapi/ inaelekea wapi?
ww jamaa hujielewi!Hakuna tatizo katika hizo locomotives.
Na changamoto inasemekana haikuwa ya kiufundi,bali ilikua ikingojea treni yenzake ipite.
Uloleta wewe taarifa ya pili.ww jamaa hujielewi!
masaa sita treni inasubiri kupishana msituni??? π€ππ.
ng'ombe ww. hebu check hapa π
View attachment 3092534
lete hiyo taarifa ya kwanza hapa kila mtu aione πππUloleta wewe taarifa ya pili.
Taarifa ya kwanza imesema kwasababu ya mpishano.
Na treni haijakwama msituni bali kituoni.
Sibishani usenge mimi.lete hiyo taarifa ya kwanza hapa kila mtu aione πππ
yaani unaona watu ni wajinga kiasi gani.... mpishano gani huo unachukua masaa sita???
treni ikiamua kukwama, haichagui pa kukwamia. kama ilikwamia kituoni, kwanini bado uwazuie watu mateka na kuwa-harass... bila chakula, bila maji na hakuna kushika simu?Na treni haijakwama msituni bali kituoni.
treni lenu la kisenge. unapoteza muda kulitetea... haya wangu wangu basi πππSibishani usenge mimi.