Reli yao itakuwa ya umeme sasa ikifika malaba sijui itaendaje mpaka Mombasa labda wafunge na locomotive ya diesel from itakayo vuta from malaba to mombasa and back.Hawa Waganda kama hamnazo. Wanakonect na Kenya, yet wanaonesha reli yetu. Sasa yao itakuwa ya umeme, mkaa ama mafuta kama Kenya?
In Kibera et al. all are dead men walking 😁Hapo ni mashambani hewa safi chakula flesh na chakutosha siyo sawa na jehanam ya kibera ...kibera ni mauti
Nairobi kuna nyumba za tope! Unabisha?
umeona eh? 😁😁😁Mradi una danadana kibao.
cheki hapa 👇Wewe unasema mradi umesimama, nakuambia lete ushahidi umeshindwa unabaki kuleta vijistori visivyo na mwanzo wala mwisho. Watu wana akili; usifikirie wote tuna mawazo hafifu😎😎
Arobaini ya Akwilina Akwilini mpaka leo kamanda?cheki hapa 👇
View attachment 3134410
In Nairobi Korogocho slum
wacha kuongelea mambo ya miaka ishirini iliopita??? saa hii kumejengwa flats tupu.In Nairobi Korogocho slum
View attachment 3134608
Kitu kimeandikwa kabisa jukwaa la siasa wewe bado unaleta hapa kama ushahidi hizo ni siasa tuu dogo utakuja kushtuka tunaanza testing ya EMU kipande hicho 🤣🤣🤣🤣
mm na-deal na watu wako kwa ground.... wanaoongea uhalisia. sio ww unayekuja hapa kila siku na hallucinations zako 😁😁Kitu kimeandikwa kabisa jukwaa la siasa wewe bado unaleta hapa kama ushahidi hizo ni siasa tuu dogo utakuja kushtuka tunaanza testing ya EMU kipande hicho 🤣🤣🤣🤣
aisee... hivi unanyanyuaje container kuiweka ndani ya meli kwa kutumia mikono? hai-make sense kabisa bro!Sio SGR Tu kila kitu kimekwama, mwaka na nusu sasa wichi la kunyanyua mzigo la meli ya Victoria "hapa KAZI Tu" halifanyi kazi, meli inapakia mzigo kidogo ambayo hupakiwa na wapagazi, mamlaka zinajua kuwa wafanyabiashara wengi walikuwa wakitumia meli kwasababu ya unafuu wake, tukimkumbuka Magufuli tunabezwa ila jiulize kama winchi Tu limeshindikana kwa mwaka na nusu vipi injini zikinoki?
Leta official source acha kuhangaika kuchafua maendeleo ya Tz.mm na-deal na watu wako kwa ground.... wanaoongea uhalisia. sio ww unayekuja hapa kila siku na hallucinations zako 😁😁
source ndio hii hapa 👇👇Leta official source acha kuhangaika kuchafua maendeleo ya Tz.
Yaani unaleta habari ya mwezi wa tano mwaka huu? Upuuzi mtupu😎source ndio hii hapa 👇👇
Tanzania’s SGR completion concerns rise amid broken promises
As Tanzania's ambitious Standard Gauge Railway (SGR) project inches towards completion, a cloud of uncertainty looms over its progress.www.thecitizen.co.tz