Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Wewe unasema mradi umesimama, nakuambia lete ushahidi umeshindwa unabaki kuleta vijistori visivyo na mwanzo wala mwisho. Watu wana akili; usifikirie wote tuna mawazo hafifu😎😎
cheki hapa 👇
IMG_20241024_205835.jpg
 
Kitu kimeandikwa kabisa jukwaa la siasa wewe bado unaleta hapa kama ushahidi hizo ni siasa tuu dogo utakuja kushtuka tunaanza testing ya EMU kipande hicho 🤣🤣🤣🤣
mm na-deal na watu wako kwa ground.... wanaoongea uhalisia. sio ww unayekuja hapa kila siku na hallucinations zako 😁😁
 
Sio SGR Tu kila kitu kimekwama, mwaka na nusu sasa wichi la kunyanyua mzigo la meli ya Victoria "hapa KAZI Tu" halifanyi kazi, meli inapakia mzigo kidogo ambayo hupakiwa na wapagazi, mamlaka zinajua kuwa wafanyabiashara wengi walikuwa wakitumia meli kwasababu ya unafuu wake, tukimkumbuka Magufuli tunabezwa ila jiulize kama winchi Tu limeshindikana kwa mwaka na nusu vipi injini zikinoki?
aisee... hivi unanyanyuaje container kuiweka ndani ya meli kwa kutumia mikono? hai-make sense kabisa bro!
 
Back
Top Bottom