Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

sina cha kuongea kabisa. Chawa wameiteka nyara akIli yake daah!
 
sina cha kuongea kabisa. Chawa wameiteka nyara akIli yake daah!
Hiyo EMU ni vichekesho vitupu bei kubwa lakini hupati hadhi ya Royal ama business kama walivyoiita.
Basi angalau wangepunguza muda wa safari,utofauti wake ni mdogo sana na zile electric locomotives.
Sasa nipoteze hela yangu ili iweje kupanda EMU ilhali ni yale yale tu!?
Tena bora hata ile ya mwanzo ina comfortability zaidi,maana hii inaonekana viti vyembamba sana.
Huyu mama aisee dooh!
 
Hali tete kwa wakandarasi kampuni nyingi zinapumulia mashine madeni kila kona taasisi za fedha zinawadai wafanyakazi nao mishahara imekuwa tabu mambo hayako sawa 🤮🤮🤮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…