Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

😹😹
IMG_20241103_203652.jpg

IMG_20241103_203813.jpg
 
Hii ndio aibu ya serikali ya mama samia.Huyu mama hajui kitu kinaitwa standard wala ufanisi.
Aisee sikutegemea aibu kama hii,ile electric locomotive ina viti vizuri kuliko hii EMU.
Ni nini maana ya kuweka business na royal class kama maviti yenyewe kama ya panton!??
sina cha kuongea kabisa. Chawa wameiteka nyara akIli yake daah!
 
sina cha kuongea kabisa. Chawa wameiteka nyara akIli yake daah!
Hiyo EMU ni vichekesho vitupu bei kubwa lakini hupati hadhi ya Royal ama business kama walivyoiita.
Basi angalau wangepunguza muda wa safari,utofauti wake ni mdogo sana na zile electric locomotives.
Sasa nipoteze hela yangu ili iweje kupanda EMU ilhali ni yale yale tu!?
Tena bora hata ile ya mwanzo ina comfortability zaidi,maana hii inaonekana viti vyembamba sana.
Huyu mama aisee dooh!
 
Hali tete kwa wakandarasi kampuni nyingi zinapumulia mashine madeni kila kona taasisi za fedha zinawadai wafanyakazi nao mishahara imekuwa tabu mambo hayako sawa 🤮🤮🤮
IMG_20241105_192553.jpg
 
Back
Top Bottom