Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Tatizo lako ni lipi kamanda?ndio maana
go get your head checked. πππMGR ya Tanzania ni continous welded na inatumia engine zenye nguvu sawa na zenu.
siku moja itawacha kukwama πππ hivyo ndio unaomba sio?Sikutukani maana tayari nishajua una upeo mfupi kutoka kufananisha ajali na ukwamaji kiuendeshaji.
SGR yenu ni jointed rail pia inatumia diesel locomotives.
MGR ya Tanzania ni continous welded na inatumia engine zenye nguvu sawa na zenu.Utofauti hapo ni upana wa gauge na ya TZ continous welded yenu jointed.
Kwanini nisiseme SGR yenu sawa na MGR yetu!??
Katika uendeshaji si ni vile vile tu!?
Ona unavyojichanganya.siku moja itawacha kukwama πππ hivyo ndio unaomba sio?
matatizo ya kiuendeshaji ndio yanayosababisha ajali. we wa wapi???
Kama unabisha sema tuanze uchambuzi hapa.go get your head checked. πππ
matatizo/ mfumo.... nenda usome kuhusu Igandu Train CollisionOna unavyojichanganya.
Matatizo ya kiuendeshaji kama yapi!?
Embu yataje hapa.
Mfumo wa uendeshaji ukipata hitilafu unaifananisha vipi na ajali!?
Ajali nyingi zilizotokea za reli ni uchakavu wa reli pili ni miundombinu hafifu.
Ila hilo limerekebishwa na linaendelea kurekebishwa.
Usifananishe kukwama kwa treni na ajali.
wacha niufunge kabisa πππKama unabisha sema tuanze uchambuzi hapa.
uchawa hausaidiiTatizo lako ni lipi kamanda?
Kama hausaidii tatizo lako ni nini?uchawa hausaidii
badilikaKama hausaidii tatizo lako ni nini?
huko tulitoka zamani sana
Duh jamaa una kichwa kigumu.matatizo/ mfumo.... nenda usome kuhusu Igandu Train Collision
Lini mlikua na treni ya umeme!??huko tulitoka zamani sana
Kichaa wewe.usiwe unapenda tu kukariri vijimaneno vya watu kama yule boya coodip1 alivyokaririshwa kuhusu axle load na 2km bullshit basi kila aendapo wimbo ni huo huo πππ
What amazes you here!?Amazing ππ!
View attachment 3145588
Endelea kujidanganya; hakuna mtu anayekukataza kamanda.huko tulitoka zamani sana