Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Huyo jamaa kwa pumba yuko vizuri😁Ugumu wa maisha unakusumbua wew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa kwa pumba yuko vizuri😁Ugumu wa maisha unakusumbua wew
kwani zitakueko? 🤣Hazipo constant
Wiki iliyopita kurudi nyuma kulikua na ordinary ya saa tatu asubuhi
Ya saa 11 asubuhi imepanda 10k juu ghafla hata sijaona tangazo, ina maana kuanzia ilivyoanza kazi nusu mwaka tu ndio tayari bei zimepanda, baada ya miaka mitatu itakuaje?
Nginja nginja at its best 🤣🤣🤣
Kenya went against BASA.kwanini mbona hamku retaliate, the same way you always do for Kenya? 👇
View attachment 3187954
porojo as usual 🚮Kenya went against BASA.
EU ni vigezo tuu kutimiza during application which is normal unapotaka ku access European air space.
Mkuu unadhani ni rahisi kupanda hili dubwana ?, wakati mwingine tuweni compassionate
View attachment 3190184
picha ya zamani sana hii.
Ongea weee utakavyo! Ila Mziki wetu sio poa!picha ya zamani sana hii.
hapo ni January 2017, mkandarasi anaendelea kufanya finishing touches. treni ya kubebea mizigo ilianza kazi January 2018 wakati infrastructure zote ziko in place.
tafuta njia nyingine ya kuji-console.
Ongea weee utakavyo! Ila Mziki wetu sio poa!
View: https://x.com/ambobattle/status/1874565296411005380
Wewe kumbe ni demu!mbona asipige picha ndani?
View attachment 3190394
Upumbavu wa huko Ukunyani what’s so special with a cultural event?Won't say much but hii picha ingepigwa upande ule mwingine, jamaa wangetujazia server humu!!! wangedai ati ooh Uganda wanapitisha 'esjiara' tz, oh sijui eacop imekamilika blah blah... too much b.s 😁😁😁
View attachment 3190460
View attachment 3190464
wivu ni mbaya sana ndugu zanguni.
binafsi hata mimi pia nimemshangaa sana huyo balozi aisee.... 🤣🤣🤣Mxiuuuuu! Huyo balozi ni mnafiki. Anataka kusema SGR ya Tanzania inazidi zile za Ethiopia, Kenya, Egypt, Spain, China, South Korea, Italia, UK, US na kwingineko?
Anatafuta kitalu cha wanyama huyu. Na kwa sifa hizi tayari kishapewa mbuga ya Serengeti.
binafsi hata mimi pia nimemshangaa sana huyo balozi aisee.... 🤣🤣🤣
Ni dhahiri inaonesha kuwa wewe na huyu G4N hamna akili na mlifeli sana masomo.Mxiuuuuu! Huyo balozi ni mnafiki. Anataka kusema SGR ya Tanzania inazidi zile za Ethiopia, Egypt, Spain, China, South Korea, Italia, UK, US na kwingineko?
Anatafuta kitalu cha wanyama huyu. Na kwa sifa hizi tayari kishapewa mbuga ya Serengeti.