Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

You Tanzanians mko na ujinga mwingi sana, you argue without concrete evidence, sasa nikikushow uniambie hiyo 6 lane kwa Thika superhighway nimejua hutanishow more than 3. Ndo hizo barabara angalia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitakuletea usijal kumbe ulijua tunatania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

So SGR yenu imeleta faida???[emoji15][emoji15][emoji15]
Leta ushahidi hapa wakat mwaka wakwanza mumesugua loss of 10b ksh
Bado tunangoja please,keani data uliendea kwa mwezi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida wewe unadhani kutukana ndio kutabadili mambo, hata BRT , SGR zote mlidhani sisi tutafanya Kwa kiwango cha chini nyie endeleeni Ku rush sisi tukija ni one step ahead, wanawake ndio hutumia Maneno wanayodhani yatamkasirisha mwanamme so ww endelea
Yaani we ni kama unafikiria na mkundu blah blah na ukiambiwa uweke picha unabandika renders hapa,nenda jukwaa xa udaku akili yako finyu Sana....achia mada zingine wanaume wamekomaa wajadili[emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo siku 7 siyo static kwani mambo yanabadilika na wanalenga dwell time isiyozidi siku 4 na ndiyo maana watu wa port dar wanafanyakazi 24/7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…