Taratibu mkuu.. siyo vizuri kutoa dose kubwa kwa mtoto mdogoHalafu naskia SGR station ya Dodoma ndio Bab kubwa, mwenye Picha please aturushie View attachment 983241
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcos hatuna BRT...upuzi ni kujifanya na. Vitu haziko in reality....mkimaliza mreje hapa.Anhaaa usijali ila refer kwenye BRT Yetu na yenu hiyo umeionaView attachment 983278
Sent using Jamii Forums mobile app
You Tanzanians mko na ujinga mwingi sana, you argue without concrete evidence, sasa nikikushow uniambie hiyo 6 lane kwa Thika superhighway nimejua hutanishow more than 3. Ndo hizo barabara angalia.Ila nilichogundua Tanzania ni nchi ambayo tunafanya mambo yetu Kwa ukubwa na ubora zaidi ya Jirani zetu, yaani we take Advantage of their weaknesses, mfano Barabara ya njia nane wao njia sita, SGR Station kubwa na bora kabisa than yao, BRT ya kisasa zaidi wenzetu hawana hiyo, yaani kiufupi KUTANGULIA SI KUFIKA
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni $600m jkia to past CBD expressway loading...Wakenya mmeshindikana [emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 983523
Sent using Jamii Forums mobile app
That's an express way. I know you didn't know.Wakenya mmeshindikana [emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 983523
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani we ni kama unafikiria na mkundu blah blah na ukiambiwa uweke picha unabandika renders hapa,nenda jukwaa xa udaku akili yako finyu Sana....achia mada zingine wanaume wamekomaa wajadili[emoji849]Unaona utofauti, ndio tunazijenga na we tuonyeshe zenu na Brt ndio hiyoView attachment 983214
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado tunangoja please,keani data uliendea kwa mwezi...Nitakuletea usijal kumbe ulijua tunatania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
So SGR yenu imeleta faida???[emoji15][emoji15][emoji15]
Leta ushahidi hapa wakat mwaka wakwanza mumesugua loss of 10b ksh
Yaani we ni kama unafikiria na mkundu blah blah na ukiambiwa uweke picha unabandika renders hapa,nenda jukwaa xa udaku akili yako finyu Sana....achia mada zingine wanaume wamekomaa wajadili[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Midanganyika ni hasara kwa MunguYou Tanzanians mko na ujinga mwingi sana, you argue without concrete evidence, sasa nikikushow uniambie hiyo 6 lane kwa Thika superhighway nimejua hutanishow more than 3. Ndo hizo barabara angalia.View attachment 983442View attachment 983443View attachment 983444View attachment 983450View attachment 983451
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha kitu quality...very straight unlike yao flat kama lami@icheoboy be like Oh mturuki nimegundua bla bla bla...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 983658View attachment 983657View attachment 983659View attachment 983660View attachment 983661View attachment 983662View attachment 983663
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakenya bwana hata Nairobi yao hawaijui vizuriWakenya mmeshindikana [emoji1] [emoji1] [emoji1] View attachment 983523
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni $600m jkia to past CBD expressway loading...
Mna uchizi nyinyi.. mnataka mchezee watu wazima! Sasa mlizani hatutoshtuka. leteni renders au subirini ijengwe kwanza siyo mna fanya photo shop za kitoto na kuzileta humu na kudai ni Thika road.. ovyo kabisa
Hasira ni za nini tena? Ama umetandikwa na bibi?Mna uchizi nyinyi.. mnataka mchezee watu wazima! Sasa mlizani hatutoshtuka. leteni renders au subirini ijengwe kwanza siyo mna fanya photo shop za kitoto na kuzileta humu na kudai ni Thika road.. ovyo kabisa
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hizo siku 7 siyo static kwani mambo yanabadilika na wanalenga dwell time isiyozidi siku 4 na ndiyo maana watu wa port dar wanafanyakazi 24/7.Average speed ni 120km/hr ..... Hakuna siku Madaraka express ishawahi chelewa. Ku calculate avg speed is as simple as Distance/Time... Kama ingekua ni 110km/hr ingekua train inachukua masaa sita kufika...
Alafu hapo kwa speed, Average container dwell time ya Dar-port ni 7 days wakati average Container dwell time ya Mombasa ni 5 days.... Kwahivyo hata kabla mzigo upakiwe kwa SGR-Tz tayari Kenya itakua na 2 days advantage!!!!
Hayo mambo ya kutandikwa na bibi yapo Kenya tu.. Tz hamna huo upuuzi