Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Hapo msahau.........na isitoshe kwa sasa hivi mnafanya vitu kwa presha ya Tanzania hii ni dalili tosha kuwa mshapotea...[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] poleni sana mda ushawapita

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida yenu.

SGR yetu already iko functional na tunapanga ku upgrade to electricity. Yaani treni zetu zitakua zikitumia both diesel and electricity at our own convenience. Nyinyi stima ikiwa shida treni zitakwama jangwani kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida yenu.

SGR yetu already iko functional na tunapanga ku upgrade to electricity. Yaani treni zetu zitakua zikitumia both diesel and electricity at our own convenience. Nyinyi stima ikiwa shida treni zitakwama jangwani kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23]
Did u see the locomotives to be procured there will be some few diesel engines too!
 
Shida yenu.

SGR yetu already iko functional na tunapanga ku upgrade to electricity. Yaani treni zetu zitakua zikitumia both diesel and electricity at our own convenience. Nyinyi stima ikiwa shida treni zitakwama jangwani kwa muda [emoji23][emoji23][emoji23]
Sahau kuhusu hilo. . .. .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Good for you then. Leave the Kenyan SGR to Kenyans. Nyinyi bado hamna
Baba yenu anauza mashamba ili ajenge nyumba ya gorofa kama ya jirani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amegundua jumba alilojenga mwanzo halimfai[emoji23][emoji23] sasa tatzo lake amesahau kuwa gorofa inaanza kujengwa kuanzia msingi yy anataka kuliungia juu kwaju, atawamaliza huyu mzee na mashamba yote mtapoteza.WIVU KIDONDA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba yenu anauza mashamba ili ajenge nyumba ya gorofa kama ya jirani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amegundua jumba alilojenga mwanzo halimfai[emoji23][emoji23] sasa tatzo lake amesahau kuwa gorofa inaanza kujengwa kuanzia msingi yy anataka kuliungia juu kwaju, atawamaliza huyu mzee na mashamba yote mtapoteza.WIVU KIDONDA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkimaliza kujenga mrudi hapa kama wanaume,for now ni kelele mnapiga tu.
 
Baba yenu anauza mashamba ili ajenge nyumba ya gorofa kama ya jirani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amegundua jumba alilojenga mwanzo halimfai[emoji23][emoji23] sasa tatzo lake amesahau kuwa gorofa inaanza kujengwa kuanzia msingi yy anataka kuliungia juu kwaju, atawamaliza huyu mzee na mashamba yote mtapoteza.WIVU KIDONDA

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitambo sana niliwaambia waKenya ni watu wa ajabu. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzagizan. Watu wa kuona mbele.

Wakati SGR inaundwa it was envisaged that later, it will be electrified. Hatujawai fanya vitu kwa kufuata Tanzagiza. Mtatusubiria sana. Ni ukweli tuu
 
Kitambo sana niliwaambia waKenya ni watu wa ajabu. Watu ambao on average ni very clever kuliko the average african/tanzagizan. Watu wa kuona mbele.

Wakati SGR inaundwa it was envisaged that later, it will be electrified. Hatujawai fanya vitu kwa kufuata Tanzagiza. Mtatusubiria sana. Ni ukweli tuu
Kweli wakenya ni watu ww ajabu hapo nakubali.
Ni mtu anayegawa ardhi halafu anaomba chakula huyo ndo mkenya.

Ni mtu anayeweka bandari muhimu ili aombe msaada huyo ndo mkenya.

Ni mtu anayejisifu kujua kiingereza kuliko lugha zake za asili yako hayupo proud ya vyake.

Mjuaji hata hasivyojua yani ni tajiri wa ubishi na maskini wa mawazo chanya.
Anawaza kufanya fumanizi aue mke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli wakenya ni watu ww ajabu hapo nakubali.
Ni mtu anayegawa ardhi halafu anaomba chakula huyo ndo mkenya.

Ni mtu anayeweka bandari muhimu ili aombe msaada huyo ndo mkenya.

Ni mtu anayejisifu kujua kiingereza kuliko lugha zake za asili yako hayupo proud ya vyake.

Mjuaji hata hasivyojua yani ni tajiri wa ubishi na maskini wa mawazo chanya.
Anawaza kufanya fumanizi aue mke.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zingatia mada. Ulinipoteza baada ya waKenya kuwa watu wa ajabu
 
Tulia hivohivoooo, nyie mkubali bado MNA li reli la kizamani mpaka muanze tena mtoe hela tena iwe ya umeme halafu mnunue Treni maana yake nyie mko bado kwenye miaka ya 90 huko, kubalini tu
Good for you then. Leave the Kenyan SGR to Kenyans. Nyinyi bado hamna
Reli%201.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom