Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

We unachekesha wakati huo ww wafanya hyo training.
Sio muda mrefu ukitaka kujenga phase three ya sgr yako utakuja kwangu kununua mataluma ya reli nimeshaanza kuyatengeneza pale soga asa hapo sijui nan kajiwekeza zaid
wewe naona ni wale ma CCM ufwata upepo ambao wanaamini kila kitu kinachoandikwa JF, hebu nionyeshe ushahidi wowote kwamba mataaluma au mchanga wa kujnga sgr kenya ulitoka nje???
Una akili timam wakat huo ujenzi wa sgr unafanywa na watz pia watz ndio wanatengeneza mataluma na kufanya ujenzi wa sgr na ma engineer wa yapi merkez ilahli ww hadi mchanganya kokoto ktk ujenz wa sgr yako alikua mchina.
Kwa hapo tushawapiga bao kwanza mataluma ya reli hatutoi nje tunatengeneza wenyewe soga ilhal ww ulikua unatoa nje.
Pili tuna watz ambao wanafanya kaz sambamba ktk ujenz wa hii reli it means kuna watu tunao wana ujuzi ktk utengenezaji wa sgr.
Na kuna watu kumi wameteuliwa na rais wakasomee kuhusu uendeshaji wa sgr kiujumla sio udereva tu km nyie mlivyofikiria pafupi

Hapa ni uchina sio, ambapo haya madaraja hutngenezwa??



1110606




Naona siku hizi waafrica wanapatikana kule Uchina manake hapa si Kenya kulingana na wewe



1110578


1110582

1110583
1110588


1110592


1110602
 

Attachments

  • B7xXhJ5CIAAXIdX.jpeg
    B7xXhJ5CIAAXIdX.jpeg
    134.1 KB · Views: 24
  • CYcuUKDWsAAbauD.jpeg
    CYcuUKDWsAAbauD.jpeg
    35.6 KB · Views: 23
Kuku ww baba angu ni mmoja wapo wa railway engineers wa tz na yeye anashughulika na ubadilishaji wa metre gauge sasa hv unakataa.nn ndio maana serikali ilitoa watu kumi wakachukue ujuz wa kuendesha sgr kiujumla ili wajuz waongezeke ktk railway ya TRC
ushahidi???
 
Kuku ww baba angu ni mmoja wapo wa railway engineers wa tz na yeye anashughulika na ubadilishaji wa metre gauge sasa hv unakataa.nn ndio maana serikali ilitoa watu kumi wakachukue ujuz wa kuendesha sgr kiujumla ili wajuz waongezeke ktk railway ya TRC
Hivi ndio watu Tanzania ni wajinga kama KUKU?
 
ummayed mbna umeumwa sana..trc wanatumiaga picha za kenya kuwaliwaza watanzania..kw ujinga wako..ukakimbia mbio kutupia picha ya sgr ya kenya kusema ni ya tz...usitulaumu wakenya kw kukuumbua...nenda kawalaumu trc
 
ummayed...mbna umeacha kutuma picha za reli ya kenya...ama waogopa kuumbuliwa...anyway nenda kawalaumu hao TRC
 
ummayed mbna umeumwa sana..trc wanatumiaga picha za kenya kuwaliwaza watanzania..kw ujinga wako..ukakimbia mbio kutupia picha ya sgr ya kenya kusema ni ya tz...usitulaumu wakenya kw kukuumbua...nenda kawalaumu trc
We swahibul aswad aya Nambie huyo uhuru kenyatta basi.ilhali huyo magufuli
TRC%2Bpic.jpeg
00400252_70567b19f5708532307e968884aa6fb7_arc614x376_w285_us1.jpeg
 
Nyie mbona mlipost pic za Nyerere bridge mkadanganya ya kwenu mitandaoni au hilo umelisahau
ummayed...mbna umeacha kutuma picha za reli ya kenya...ama waogopa kuumbuliwa...anyway nenda kawalaumu hao TRC
 
wuhuhuuuu...umayed hilo daraja unalodai km limepostiwa au huo mlima kilimanjaro mnaopiga nao kelele...hakuna kiongozi utaona kafanya huo upuuzi...bali tanzania tangu viongozi mpaka taasisi za serikali...noma sana..bwahahaa
 
Kuku ww baba angu ni mmoja wapo wa railway engineers wa tz na yeye anashughulika na ubadilishaji wa metre gauge sasa hv unakataa.nn ndio maana serikali ilitoa watu kumi wakachukue ujuz wa kuendesha sgr kiujumla ili wajuz waongezeke ktk railway ya TRC

Nina Swali, kama Tz hawajanunua treni bado, Dereva watafundishwa aje na hamjui gani model ya treni itanunuliwa?
Simulator are for specific models like for planes, so unless locomotives have been bought, this 10students stori siamini.
 
Nina Swali, kama Tz hawajanunua treni bado, Dereva watafundishwa aje na hamjui gani model ya treni itanunuliwa?
Simulator are for specific models like for planes, so unless locomotives have been bought, this 10students stori siamini.

Treni zimeshanumuliwa kutoka Korea na training inafanywa na Turkey na Korea model inayokuja ni Hyundai Rotem ambazo hata Turkey wanazitumia huko kwao. Google Hyundai Rotem trains utaona zimekaaje.
 
Achaga ubishi ww train itaonunuliwa imeshajulikana na magufuli akawachagua watu kumi wapo chin ya yapi merkez yenyewe wakifundishwa uendeshaji sgr kiujumla si tu.kiudereva hadi utandikaj na utengenezaji.
Unabahat ile vid ndefu ningeipost humu uone alichoongea rais pamoja na mkurugenz wa TRC
Nina Swali, kama Tz hawajanunua treni bado, Dereva watafundishwa aje na hamjui gani model ya treni itanunuliwa?
Simulator are for specific models like for planes, so unless locomotives have been bought, this 10students stori siamini.
 
Back
Top Bottom