komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hemu zitaje hzo many stations hapa
Kama Nrb-Naivasha launch while many stations not ready!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Nrb-Naivasha launch while many stations not ready!
Hemu ndo nn?Hemu zitaje hzo many stations hapa
Hemu ndo nn?
hata kama tulikua hatuko 100% ready, hauwezi ukalinganisha na hio yenu ambayo bado hadi sasa watu wanajibizana kuhusu rail link ya Dar port to SGR marshaling yard.. kuna madaraja mengine nayo hamjaweka, hapo nimeona mnaongelea kuhusu rail over rail bridge ambayo hataa haijaanzwa kujengwa.....Rail link inafika kwa SGR passenger station, haifiki kwa Port.Kama Nrb-Naivasha launch while many stations not ready!
hata kama tulikua hatuko 100% ready, hauwezi ukalinganisha na hio yenu ambayo bado hadi sasa watu wanajibizana kuhusu rail link ya Dar port to SGR marshaling yard.. kuna madaraja mengine nayo hamjaweka, hapo nimeona mnaongelea kuhusu rail over rail bridge ambayo hataa haijaanzwa kujengwa.....Rail link inafika kwa SGR passenger station, haifiki kwa Port.
Alafu kumbuka November ndo inaingia kesho kwahivyo bado miezi miwili ndo tukamilishe mwaka, so TRC ikisema reli itakamilika mid 2020 hio si miezi sita, ni miezi 6 + 2 = 8 months!!!! Alafu unajua vile serekali hua ikisema mid next year haimaanishi June, utarajie kuongeza miezi kadhaa baada ya June, Alafu uongeze na miezi miengine kadhaa ya kufanya testing ya umeme na treni za umeme kuhakikisha kila kitu kiko sawa kabla reli izunduliwe rasmi na kuanza kazi (commercial operations) kwahivyo just to be safe , Tarajia kupanda reli yenu ikielekea December 2020. Ama hata ikizidi January 2021!
wacha ujinga Ruvu mbali ya mashalling yard kuna Dry port pia kwa ajili ya kupunguza msongamano Dar port! Kwa hiyo hata malori hayatakuwa yakija Dar port! Plan iliyopo ya Rail over real overpass inajulikana, ila katika Makutano ya Kawawa Road na Nyerere road kutajengwa pia flyover halafu gerezani/kilwa road kunajengwa overpass na JICA as we speak read for BRT project! The SGR will be ready by mid 2020!hata kama tulikua hatuko 100% ready, hauwezi ukalinganisha na hio yenu ambayo bado hadi sasa watu wanajibizana kuhusu rail link ya Dar port to SGR marshaling yard.. kuna madaraja mengine nayo hamjaweka, hapo nimeona mnaongelea kuhusu rail over rail bridge ambayo hataa haijaanzwa kujengwa.....Rail link inafika kwa SGR passenger station, haifiki kwa Port.
Alafu kumbuka November ndo inaingia kesho kwahivyo bado miezi miwili ndo tukamilishe mwaka, so TRC ikisema reli itakamilika mid 2020 hio si miezi sita, ni miezi 6 + 2 = 8 months!!!! Alafu unajua vile serekali hua ikisema mid next year haimaanishi June, utarajie kuongeza miezi kadhaa baada ya June, Alafu uongeze na miezi miengine kadhaa ya kufanya testing ya umeme na treni za umeme kuhakikisha kila kitu kiko sawa kabla reli izunduliwe rasmi na kuanza kazi (commercial operations) kwahivyo just to be safe , Tarajia kupanda reli yenu ikielekea December 2020. Ama hata ikizidi January 2021!
more on existing transmission line, a major power station being built at Kisarawe!Stop being stupid get to know the electricity power transmission grid around Tanzania first! To know what it means to have a connection from Katavi to Kigoma! The power line up talk here is already there! What remains is an overhead transmission line while poles n ATS stations r already U/C!
september fotos right?
I don't know they just look shittyseptember fotos right?
hahah tulia baba! see shitness in true colorsI don't know they just look shitty
hahah tulia baba! see shitness in true colors
Pata picha Umeugua ghafla upo mashambani unachukua mtungi wa changaa mpaka Voi terminusunakutana na kituo hiki! unapata mahope!
![]()
ghafla Nje ya kituo unakutana na tope hili!
Unajipa moyo konde then unafika hospitali Voi county referral hospital unakutana na hii kitu!
![]()
Baba Ni umekufa! unampokea Israili mtoa roho! Wakenya husema bora "ungeachwa ukufie hom" au ungekatalia kutoka Voi terminus!
hahah tulia baba! see shitness in true colors
Pata picha Umeugua ghafla upo mashambani unachukua mtungi wa changaa mpaka Voi terminusunakutana na kituo hiki! unapata mahope!
![]()
ghafla Nje ya kituo unakutana na tope hili!
Unajipa moyo konde then unafika hospitali Voi county referral hospital unakutana na hii kitu!
![]()
Baba Ni umekufa! unampokea Israili mtoa roho! Wakenya husema bora "ungeachwa ukufie hom" au ungekatalia kutoka Voi terminus!
i was showing u the really shit log is in ur backyard!😂😂😂 sasa nini mabaya na gate ya voi station? You look and sound stupid with your dispensaries photos.
time will tell! As there is no doubt Dar SGR station will have no comparison in the whole of EA! From size to modernity to aesthetic to functionality to number of flows!Voi station is better than any SGR station in tz
Listen to the consultant from Korail, he is saying no comparison can be made to Dar station in the East n central Africa!Voi station is better than any SGR station in tz