Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Ushahidi uko wapi?

Marshaling yard ya SGR iko 90kf from Dar port!
Get to know the meaning of marshalling yard first SGR will get to Dar port! The current BRT to Mbagala is even having an overpass to allow SGR to go under! Hatukurupuki in planning these things mzee!

Cargo will be unload from ships n brought to ICD n marshaling yard then sorted where a 2 km train will be mounted n shunted ready to go to upcountry n Rwanda, Burundi, DRC n Uganda!

While other cargo will go to SADC countries via TAZARA! Reason being to decrease traffic of trucks that at the moment go to the port to collect cargo! Even truckers will collect their cargo at Kwala ICD in Ruvu!



 
Ni kama uwe na barabara yenye load limit ya 100 tons halafu ujitambe unaweza unaweza kubeba cargo zaidi ya mwenye barabara ya load limit 150 tons! Akili za Kariobangi ndo hudanganywa hivyo! If axle load is 25 tons that means 100 axle loads per wagon moving at 80km/h! There is no way u can claim of having more load capacity than one with axle load of 35 tons and subsequently 140 tons per wagon and yet having electrical engines that can pull a 2 km long train and moving at 120 km/h! Even turn around/dwelling time aside traffic is lower for a faster train with a bigger axle load! The maths n law of Physics don't add up! May be Chinese way of conning Kunyans!
Bado una ruka ruka tu, kwn ukisema hujaelewa utakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simon jibu hili mbwigambwiga!

a) 400kV Transmission Lines
1) 400kV Iringa-Shinyanga TL (670km)
- Iringa SS
- Dodoma SS
- Singida SS
- Shinyanga SS
2) 400kV Mbeya-Nyakanazi TL (1148km)
- Mbeya SS
- Tunduma SS
- Sumbawanga SS
- Mpanda SS
- Kigoma SS
- Nyakanazi SS
3) 400kV Nyakanaz-Kigoma TL (280km)
4) 400kV Dar es Salaam-Segera TL
5) 400kV Tabora-Katavi TL (132km)
6) 400 kV Somanga- Kinyerezi TL
7) 400kV Somanga-Mtwara TL (253km)
8) 400kV Chalinze-Dodoma TL (350km)
9) 400kV Dar es Salaam (K)-Arusha TL (682km)
- Chalinze SS
- Segera SS
10) 400kV Singida-Namanga(Ar) TL (414.4km)
11) 400kV Njombe-Kisada TL (170km)



b) 220kV Transmssion Lines
220kV Makambako-Songea TL (250km)
-Madaba SS
-Songea SS
- Makambako SS
220kV Iringa-Dodoma TL
220kV Kyaka-Nyakanazi TL (232km)
220kV Geita-Nyakanazi TL (144km)
220kV Rusumo-Nyakanazi TL (98.2km)
220kV Ibadakuli-Mwanza TL
220kV Ibadakuli-Bulyanhulu TL
220kV Ibadakuli-Buzwagi TL
220kV Bulyanhulu-Geita TL (55km)
220kV Masaka-Mwanza TL (640km)
220kV Kibaha-Bagamoyo TL
220kV Segera-Tanga TL
220kV Kinyerezi-Kingolwira TL U/C
- Pugu SS
- Ruvu SS
- Kidugalo SS
- Kingolwira SS


c) 132kV Transmission Lines
132kV Ibadakuli-Tabora TL
132kV Mtwara-Mahumbika TL (80km)
132kV Ubungo-Mbagala TL
- Ubungo SS
- Kurasini SS
- Mbagala SS
132kV Ubungo-Gongo la Mboto TL
- Ubungo SS
- Kipawa SS
- Gongo la Mboto SS
132kV Ubungo-Ilala TL


Akibisha anaweza kugoogle.. aseme TL ipi haipo!!
 
a) 400kV Transmission Lines
1) 400kV Iringa-Shinyanga TL (670km)
- Iringa SS
- Dodoma SS
- Singida SS
- Shinyanga SS
2) 400kV Mbeya-Nyakanazi TL (1148km)
- Mbeya SS
- Tunduma SS
- Sumbawanga SS
- Mpanda SS
- Kigoma SS
- Nyakanazi SS
3) 400kV Nyakanaz-Kigoma TL (280km)
4) 400kV Dar es Salaam-Segera TL
5) 400kV Tabora-Katavi TL (132km)
6) 400 kV Somanga- Kinyerezi TL
7) 400kV Somanga-Mtwara TL (253km)
8) 400kV Chalinze-Dodoma TL (350km)
9) 400kV Dar es Salaam (K)-Arusha TL (682km)
- Chalinze SS
- Segera SS
10) 400kV Singida-Namanga(Ar) TL (414.4km)
11) 400kV Njombe-Kisada TL (170km)



b) 220kV Transmssion Lines
220kV Makambako-Songea TL (250km)
-Madaba SS
-Songea SS
- Makambako SS
220kV Iringa-Dodoma TL
220kV Kyaka-Nyakanazi TL (232km)
220kV Geita-Nyakanazi TL (144km)
220kV Rusumo-Nyakanazi TL (98.2km)
220kV Ibadakuli-Mwanza TL
220kV Ibadakuli-Bulyanhulu TL
220kV Ibadakuli-Buzwagi TL
220kV Bulyanhulu-Geita TL (55km)
220kV Masaka-Mwanza TL (640km)
220kV Kibaha-Bagamoyo TL
220kV Segera-Tanga TL
220kV Kinyerezi-Kingolwira TL U/C
- Pugu SS
- Ruvu SS
- Kidugalo SS
- Kingolwira SS


c) 132kV Transmission Lines
132kV Ibadakuli-Tabora TL
132kV Mtwara-Mahumbika TL (80km)
132kV Ubungo-Mbagala TL
- Ubungo SS
- Kurasini SS
- Mbagala SS
132kV Ubungo-Gongo la Mboto TL
- Ubungo SS
- Kipawa SS
- Gongo la Mboto SS
132kV Ubungo-Ilala TL


Akibisha anaweza kugoogle.. aseme TL ipi haipo!!
umesahau na TL ya SGR na ile East Southern power pool pia!
 
Kadaanganye mama ntilie
1575540_TanzaniaBRT.jpg


View attachment 1366310


Asubuhi na jioni watu wakienda/wakitoka kazini lazima kutakua na mirundiko ya watu, shida ni kwamba watanzania hamjui kupiga laini ili kurahisisha kazi, mtarundikana nyote kama kifurushi
Yah ktk jambo la kujifunza kutoka Kenya ni kuhusu abiria kupanga lines huu ni utaratibu ambao tunapaswa kuzingatia sn cz ndio ustaarabu tunaotakiwa kwenda nao ktk kizazi hiki cha electrified railways
 
Hizo zote umeniandikia ni project ambazo hazija kamilika, ni sawa tu na muEthiopia aanze kusema wao wanajenga Grand Renaissance dam ya 6,000MW!!! Ama mimi nikelezee vile tuna explore visima vya geothermal ku produce 3000MW .. it doesn't mean sh!t
Mimi nimekwambia vile Ethiopia iko na umeme mwingi hadi inauzia Kenya 400MW na bado wako na blackouts... Kwahivyo hio inaonyesha shida si ukosefu wa umeme Shida iko kwa distribution kutoka kwa power plant hadi pale umeme unapohitajika......

Kwahivyo haufai kunipigia hadithi za vile mnajenga power plants nyingi au vile hamna power rationing siku hizi .... Hio si issue, unafaa kunipigia hadithi za vile stima hua haikatiki Tanzania... Manake kama stima hua ina katika kirahisi haswa kwa viwanda na kampuni za kibinafsi ambao hua sana sana wanasambaziwa umeme kwenye line spesheli za high voltage, hio inaashiria kwamba kuna tatizo kwa Upande wa Tanesco kusambaza umeme kwahivyo haitakua jambo la ajabu stima ikikatika kama uko juu ya SGR.

Lakini si ati nawaombea vibaya, kwamba stima ikatike kila mwezi.... ninachosema ni kwamba usikashifu reli ya Kenya na yenu haijaanza kufanya kazi.... manake kuna wengine kule Ethiopia hadi sasa wanapiga treni tatu za mizigo kwa siku miaka 3 baadaye. Kwahivyo usione magazeti ya Kenya yanakosoa KRC kila siku ukadhani eti kwenu operation zitakua nyweeee....

Kitu cha kwanza naweza kukwambia bure bila kulipwa... Kwasasa sijaona SGR ikijengwakuelekea portya DAR. Marshaling yard ya Dar iko 90km fromthe port. That means mzigo ukifika port most likely utapakiwa kwa MGR hadi marshaling yard, ukifika marshaling yard upakuliwe ndo upakiwe kwa SGR. Hapo tayari kutakua na changamoto zinawangojea..

angalia jinsi unavyojiabisha!
it’s as if upo ndani ya TRC

sentence ya mwisho jibu lake hili hapa
 
Hahahaha Yani 13,000 Sq.m alafu floor ya Chini ni ya reli ya zamani MGR kumaanisha SGR watapata maybe only 10,000m.sq kwa second floor.... Watu watakua wanapigaje laini




r


Angalia vile mahali kwa kusubiri hua kumejaa hadi kero
W020190425803997079509.jpg






Mombasa station

Watu wanapiga line ya kukata ticketi..... Hii picha ilipigwa 6:30am watu wamepiga laini ya kuchukua tiketi kwa ATM,wakati treni yenyewe ilikua inaondoka 9am...
20170610_065958.jpg


Laini ya Kushoto wasafiri ambao wanaenda kuchukua tiketi zao, laini ya kulia wameshachukua tiketi na wanangojea kuingia kwa stesheni wangojee treni
DCamAYQVwAAmInP.jpg



Hapa ni madakika kabla watu waanze kuabiri ambapo hua kuna zaidi ya watu 1000 kwa stesheni...
SGR-train-Madaraka-Express.Diary-of-a-Muzungu-26.jpg







Mind you, Nairobi SGR station sits on a 58,000 m.q area, but the station itself is 21 meters high and 21,000 m.sq


This makes Nairobi SGR station twice as big as Dar station!!!!! So Dar station is not the biggest in EA, maybe the 3rd biggest After Nairobi and Mombasa Station!

SGR yenu ikikua successful hako ka stesheni kenu katakua kero tupu, watu watakua na msongamano kila mahali hata kupumua itakua shida tupu!

The SGR Nairobi Terminal is a 15 000 sqm train terminal/station that forms one of two key stations (out of a total of eight) that make up the recently completed Mombasa-Nairobi Standard Gauge Railway Line.
About the Mombasa-Nairobi SGR

[via wikipedia]
The Mombasa–Nairobi Standard Gauge Railway is a standard-gauge railway (SGR) in Kenya that connects the large Indian Ocean city of Mombasa with Nairobi, the country’s capital and largest city. This SGR runs parallel to the defunct, narrow-gauge Uganda Railway that was completed in 1901 under British colonial rule. The East African Railway Master Plan provides for the Mombasa–Nairobi SGR to link with other SGRs being built in the East African Community. At a cost of US$3.6 billion, the SGR is Kenya’s most expensive infrastructure project since independence. The prime contractor was the China Road and Bridge Corporation, which hired 25,000 Kenyans to work on the project. The railway commenced operation in mid 2017.



The SGR Nairobi Terminal
The SGR Nairobi Terminal is a 15,000-square-metre station on the southwest side of the Nairobi-Mombasa highway, about 11km from the city centre and 3km from Jomo Kenyatta International Airport.

SGR-Nairobi-Terminal_02.jpg

The concept behind the fluid, aerodynamic design merges the forms of a bridge, gateway and locomotive. The approach facade depicts two trains topped by a bridge, which is intended to represent an integration of the spirit of East Africa. It highlights the friendly cooperation between Kenya and China and the concept of accelerated economic growth.

SGR-Nairobi-Terminal_06-1024x683.jpg

The building, which has become a veritable landmark in Nairobi, is a departure from the concrete brutalist architecture that typifies the built environment, but employs curves and cladding to emphasize the idea of motion and speed, while taking into account the climate and keeping the fenestration shaded.

SGR-Nairobi-Terminal_03-1024x768.jpg
SGR-Nairobi-Terminal_10_featured-image.jpg

Here’s a look at the terminal through the lens of Ian Macharia Photography You can see more on his behance page.

  • Kenya-Rail-SGR_06_Nairobi-Terminal_Ian-Macharia-Photography-1024x701.jpg
  • Kenya-Rail-SGR_07_Nairobi-Terminal_Ian-Macharia-Photography-1024x497.jpg
  • Kenya-Rail-SGR_02_Nairobi-Terminal_Ian-Macharia-Photography-1024x642.jpg
  • Kenya-Rail-SGR_01_Nairobi-Terminal_Ian-Macharia-Photography-1024x734.jpg
  • Kenya-Rail-SGR_03_Nairobi-Terminal_Ian-Macharia-Photography-1024x549.jpg
  • Kenya-Rail-SGR_05_Nairobi-Terminal_Ian-Macharia-Photography-1024x657.jpg

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
 

Attachments

  • 1582436056084.png
    1582436056084.png
    248.5 KB · Views: 2
a) 400kV Transmission Lines
1) 400kV Iringa-Shinyanga TL (670km)
- Iringa SS
- Dodoma SS
- Singida SS
- Shinyanga SS
2) 400kV Mbeya-Nyakanazi TL (1148km)
- Mbeya SS
- Tunduma SS
- Sumbawanga SS
- Mpanda SS
- Kigoma SS
- Nyakanazi SS
3) 400kV Nyakanaz-Kigoma TL (280km)
4) 400kV Dar es Salaam-Segera TL
5) 400kV Tabora-Katavi TL (132km)
6) 400 kV Somanga- Kinyerezi TL
7) 400kV Somanga-Mtwara TL (253km)
8) 400kV Chalinze-Dodoma TL (350km)
9) 400kV Dar es Salaam (K)-Arusha TL (682km)
- Chalinze SS
- Segera SS
10) 400kV Singida-Namanga(Ar) TL (414.4km)
11) 400kV Njombe-Kisada TL (170km)



b) 220kV Transmssion Lines
220kV Makambako-Songea TL (250km)
-Madaba SS
-Songea SS
- Makambako SS
220kV Iringa-Dodoma TL
220kV Kyaka-Nyakanazi TL (232km)
220kV Geita-Nyakanazi TL (144km)
220kV Rusumo-Nyakanazi TL (98.2km)
220kV Ibadakuli-Mwanza TL
220kV Ibadakuli-Bulyanhulu TL
220kV Ibadakuli-Buzwagi TL
220kV Bulyanhulu-Geita TL (55km)
220kV Masaka-Mwanza TL (640km)
220kV Kibaha-Bagamoyo TL
220kV Segera-Tanga TL
220kV Kinyerezi-Kingolwira TL U/C
- Pugu SS
- Ruvu SS
- Kidugalo SS
- Kingolwira SS


c) 132kV Transmission Lines
132kV Ibadakuli-Tabora TL
132kV Mtwara-Mahumbika TL (80km)
132kV Ubungo-Mbagala TL
- Ubungo SS
- Kurasini SS
- Mbagala SS
132kV Ubungo-Gongo la Mboto TL
- Ubungo SS
- Kipawa SS
- Gongo la Mboto SS
132kV Ubungo-Ilala TL


Akibisha anaweza kugoogle.. aseme TL ipi haipo!!
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
 
Bado una ruka ruka tu, kwn ukisema hujaelewa utakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
haya nieleweshe ni vp SGR yenu yenye limit kwa wagon zenye axle load 4 na kila moja ina uzito wa 25 tons zinaweza kubeba cargo zaidi ya SGR Tanzania yenye axle load limit 35 tons na ni nne pia kwa kila wagon! Yet ur SGR ina speed limit at 80 km/h for cargo in comparison to 120 km/h for Tanzania's! Zaidi ya hapo SGR Tanzania ina provision ya kuunga treni za urefu wa 2 km ukiacha double stack! Endeleeni kudanganywa na Mchina!

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
 
haya nieleweshe ni vp SGR yenu yenye limit kwa wagon zenu zenye axle load 4 na kila moja ina uzito wa 25 tons zinaweza kubeba cargo zaidi ya SGR Tanzania yenye axle load 35 tons! Yet ur SGR ina speed limit at 80 km/h for cargo in comparison to 120 km/h for Tanzania's! Zaidi ya hapo SGR Tanzania ina provision ya kuunga treni za urefu wa 2 km ukiacha double stack! Endeleeni kudanganywa na Mchina!

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
Hili kitu ni ngumu mnoo kwa huyo dogo, unamuonea bure 😂😂😂
 
Back
Top Bottom