Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Naivasha icd
tapatalk_1589097755548.jpg
tapatalk_1589097821543.jpg
tapatalk_1589097784706.jpg
tapatalk_1589097807097.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIzo za kubeba 20 Containers ndo unakuja kuturingia? Mbona hua lazima ujaribu ku counter kila kitu cha Kenya? si usubiri tu SGR ndo uje uringe badala ya kuji aibisha na mabehewa 20 juu ya treni moja




Tanzania's MGR competes with Kenya's SGR at any time! When was Naivasaha ICD launched? In December right? n started receiving cargo in May right? We launched in May and is already receiving cargo!

 
Je unakumbuka utata ulikua unatokana na wapi, manake hii ulioleta inadhihirisha kile tulichokua tunasema
Utata ulikuwa kama ifuatavyo:

1. Kuna waliodhani kuwa ujenzi huo ni sehemu ya malipo kwa mkandarasi yapi ($1.2bln) na kwamba mkandarasi ndiye anayegharamia ujenzi huo.

Sasa iko clear kuwa hiyo ni nje ya main contract.

2. Kwamba ujenzi huo uko nje ya mkataba ila gharama yake ni kubwa kiasi kwamba hakutakuwa na tofauti ya ki-gharama baina ya SGRtz na ile ya +254 ambayo ujenzi huo ulikuwa sehemu ya main contract na ikafanywa na main contractor.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utata ulikuwa kama ifuatavyo:

1. Kuna waliodhani kuwa ujenzi huo ni sehemu ya malipo kwa mkandarasi yapi ($1.2bln) na kwamba mkandarasi ndiye anayegharamia ujenzi huo.

Sasa iko clear kuwa hiyo ni nje ya main contract.

2. Kwamba ujenzi huo uko nje ya mkataba ila gharama yake ni kubwa kiasi kwamba hakutakuwa na tofauti ya ki-gharama baina ya SGRtz na ile ya +254 ambayo ujenzi huo ulikuwa sehemu ya main contract na ikafanywa na main contractor.

Sent using Jamii Forums mobile app
TL ya Dar-Moro 160 km ni less than $35 mln! Na Morogoro-Dodoma-Makutupora 410 km ni less than $95 mln! Kumbuka electrification ya Mombasa-Nairobi SGR Kenya was to cost $400 mln!

2395145_Screenshot_20200510-122453.jpeg
 
TBT technical specifications on TL
Design yake itakua na redundancy circuit in mind kiasi kwamba kutoka Dar hadi Moro kutakua na substation kama nne au zaidi na zitakua zinatap ktk different sources za national grid. Kumbuka ni vigumu sana Umeme kukosekana ktk lines zote (ya kutoka Mtera, Kidatu, Kinyerezi etc) kwa wakati mmoja. Pia nadhani ktk substations wataweka pia emergency generators as well just incase.

Btw, Umeme wenyewe unaohitajika kuendeshea trani wala sio mwingi ni approx. 25 KVA

Ahaa nimeipata:

Power for locomotives and rail facilities
The railway will be electrified. Locomotives will be powered by 25 kV MV. For this purpose 7 Traction Power Substations (TPS) and 28 Auto Transformer Substations (ATS), whose locations are not determined yet, shall be installed along the line. The necessary 220 kV High Voltage Transmission lines supplying power to these substations will be provided by TANESCO.

  • Alternative of selection of other feasible route. The EIA assessors analyzed five potential routes, as following:
    1) Tapping from nearest point of existing 132 kV TL to each of the SGR substations
    2) Tapping from nearest point of existing 220 kV Ubungo- Morogoro TL to each of the SGR substations
    3) Tapping from nearest point of existing 220 kV Kinyerezi-Morogoro TL to each of the SGR substations

    4) Dedicated 132 kV Kinyerezi – SGR- Msamvu transmission line 5) Dedicated 220 kV Kinyerezi – SGR- Msamvu transmission line
Source:
 
Haya ni majibu niliyowahi kukupa huko nyuma
Je unakumbuka utata ulikua unatokana na wapi, manake hii ulioleta inadhihirisha kile tulichokua tunasema

Maana ya "build" ndio hujui ama nini? Hapo juu wamesema vizuri ati transmission line will be build by TANESCO.

Sent using Jamii Forums mobile app

But why should transmission line cost be factored in the electrical SGR cost? Isn't transmission line the duty of an electrical company? Assuming we r factoring in the $150 mln for TL still the cost will be lower in comparison to ur diesel SGR! 1.2 bln + 1.9 bln=3.1+0.15= $3.25 bln! Then add says $400 mln for locomotives! then u get $3.65 bln for Dar-Makutupora (336+205) 541 km which less than the cost of $3.8 bln for Mombasa-Nrb diesel SGR of length 472 km!
Teargass Kafrican

So far Dar-Morogoro-Dodoma-Makutupora's TL cost is around $130 mln out of $150 mln i estimated earlier!

TL ya Dar-Moro 160 km ni less than $35 mln! Na Morogoro-Dodoma-Makutupora 410 km ni less than $95 mln! Kumbuka electrification ya Mombasa-Nairobi SGR Kenya was to cost $400 mln!

2395145_Screenshot_20200510-122453.jpeg

This is not a question of who is the distributor of power in Tz, this is a question of who pays for a transmission line that is used by 1 single customer.
TANESCO's job would have been to get power the SGR, e.g to Dar substation, pugu substation, ruvu substation....etc using existing power distribution lines found nearby - however they see fit.

However in this case, TANESCO was basically ordered to build a separate dedicated transmission line using its own money to be used exclusively by the SGR. Therefore the cost of building the TL can be added on top of the $1.9B project since no other customer can use the transmission line.

But Tanzania Railways is a customer right? BTW the cost of Dar-Morogoro is $1.2 bln n not $1.9bln! $1.9bln is the cost for Morogoro to Makutupora! As we speak Tanesco is building not less than 4 TL across the country n longer than Dar-Moro!
 
Back
Top Bottom