Macos
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 1,979
- 1,416
Nimepita kwenye service road ya Yapi kuanzia Pugu mpaka mbele ya msogaIvi nikusaidie tu ili usiendele kujivunjia heshima kwanini usiende kuangalia report ya june alafu ndio uje hapa ....acha izo argument za kitot..aisee shida sana
Bado kuna kazi kubwa sana.
Hizo ripoti hazi elezi kama tupo nyuma miezi 10 ?
Kwani tukikubali tupo nyuma sana ya schedule kuna tatizo ?