Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania



Kwenye Kongamano la juzi kati liliandaliwa na TRC na kushirikisha wadau, mkurugenzi wa CCECC anakwambia hii project tutaifanya kwa speed sana na kwa haraka hvyo wale local contractors wanaotaka kuapply for supply ya services mbali mbali wanabidi wawe na labor ya kutosha na finance pia uzoefu kwani wanataka kuikimbiza project ikamilike kwa wakati. Yule Mchina wa CCECC kanikosha sana.
 
Kwenye Kongamano la juzi kati liliandaliwa na TRC na kushirikisha wadau, mkurugenzi wa CCECC anakwambia hii project tutaifanya kwa speed sana na kwa haraka hvyo wale local contractors wanaotaka kuapply for supply ya services mbali mbali wanabidi wawe na labor ya kutosha na finance pia uzoefu kwani wanataka kuikimbiza project ikamilike kwa wakati. Yule Mchina wa CCECC kanikosha sana.
Hii mchina anatakiwa akamalishe kwa miaka mingapi mkuu?
 
daraja la sgr kilosa
you can see the train inapita chini ya daraja mwanzoni mwa mdomo wa tunnel .. also the river
IMG_1612170917.711790.jpg
IMG_1612170931.848910.jpg
IMG_1612170943.137837.jpg
IMG_1612170953.725913.jpg
IMG_1612170963.513263.jpg
IMG_1612170976.018929.jpg


i wish i could know how to upload videos here from my phone gallery
 
Hapana mkuu, napenda kuona mwanamke ana kichuguu lkn kwng ni haramu kwa matumizi, haiwezekani na haitakuja kutokea kamwe mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu usiwaze. Vichuguu ni sehemu ya uumbaji wake na huwapa maumbo mazuri sana. Haya ni mapambo ya dunia Mungu aliyaumba kwa ufundi wa hali ya juu. Wanaume tupambane mapambo yetu yazidi kupendeza. Acha tuufurahie na kuutukuza uumbaji wake.
 
Back
Top Bottom