Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Mombasa Port


169057013_6202827409759627_8882993434326609921_n.jpg


169333587_6202832013092500_3536794810027896720_n.jpg

169555488_6202833796425655_4769749110876314639_n.jpg


169274356_6202837413091960_2009642093859304426_n.jpg


169471514_6202839146425120_4638275211751933123_n.jpg




169441780_6202841686424866_5393643510010978890_n.jpg




Bonus
169680404_6202844016424633_6696584956965364007_n.jpg


169531959_6202846486424386_3355496164160231073_n.jpg

Tony254 zile doubledeck zipo wapi na hizi container zinafanya nn? Si ulisema zinapakuliwa na kuwekwa kwenye wagons straight?
169680404_6202844016424633_6696584956965364007_n.jpg
 
Finally Ethiopia SGR is making headways

Y81n3yz.jpg



pg4lDA3.jpg


ifSqhhv.jpg


eVhA1tR.jpg


ur8s3Ro.jpg


huDqh4s.jpg





-----------------------------------------------

The headway is that freight volumes are increasing significantly which brings a positive reflection on revenues

edr-tonnage-png.1173878


edr-revenue-png.1173875



edr-cargo-type-png.1173876



Ningependa kupongeza Ethiopia kwa kukaza kamba, waendelee hivyo hivyo progress is progress, Najua ingekua ni huku Kenya ingekua SGR imeshatupiliwa mbali na kila mtu kama failed project kama ingechukua mda mrefu hivi kabla kuanza kuonekana kufanya kazi.
Nyie SGR-Kenya Mna-Make losses mpaka saa hii!
 
KPA ndio ilisema. Si nilipost hapa message yao. Sasa unapinga KPA? Anyway mimi naamini KPA.
KPA hiihii wali-import cranes hazifanyi kazi na IMF imetoa condition iwe restructured ili Kenya ipewe mkopo!
 
KPA ndio ilisema. Si nilipost hapa message yao. Sasa unapinga KPA? Anyway mimi naamini KPA.
hakuna bandari yeyote ile duniani inayoweza kubaki empty space bila ya containers vinginevyo jua basi hiyo bandari haina mizigo inayoingia ,,,

kwenye masuala ya ushuru kwa wateja kungojea mizigo yao kuna vitu vingi vya kimsingi lazima vizingatiwe..

akili ya kuambiwa changanya na yako,tuache utoto kwenye vitu serious
 
hakuna bandari yeyote ile duniani inayoweza kubaki empty space bila ya containers vinginevyo jua basi hiyo bandari haina mizigo inayoingia ,,,

kwenye masuala ya ushuru kwa wateja kungojea mizigo yao kuna vitu vingi vya kimsingi lazima vizingatiwe..

akili ya kuambiwa changanya na yako,tuache utoto kwenye vitu serious
Wewe unadandia treni kwa mbele hata hujui mjadala unahusu nini. Whether bandari ni empty or not tunazungumza kuhusu uwezo wa bandari la Mombasa kupakia mizigo directly kutoka kwa meli hadi kwenye treni bila kuiweka mizigo chini.
 
Wewe unadandia treni kwa mbele hata hujui mjadala unahusu nini. Whether bandari ni empty or not tunazungumza kuhusu uwezo wa bandari la Mombasa kupakia mizigo directly kutoka kwa meli hadi kwenye treni bila kuiweka mizigo chini.
yaani umerudi pale pale [emoji1787][emoji1787]...

kwa hiyo hizo containers zote zinazopakuliwa kutoka kwenye meli kwa hapo mombasa port huwa zinapakuliwa na kuisha bila kushushwa ...?
 
yaani umerudi pale pale [emoji1787][emoji1787]...

kwa hiyo hizo containers zote zinazopakuliwa kutoka kwenye meli kwa hapo mombasa port huwa zinapakuliwa na kuisha bila kushushwa ...?
Containers zingine huwa zinashushwa hususan containers ambazo hazielekei upande wa Nairobi. Kwa mfano containers zinazoelekea Mombasa au Kwale au Kilifi au hata Tanzania lazima zishushwe na kuwekwa chini. Ila zinazokwenda Nairobi hazigusi chini, zinawekwa direct kwenye train na kuchana mbuga hadi Nairobi.
 
Containers zingine huwa zinashushwa hususan containers ambazo hazielekei upande wa Nairobi. Kwa mfano containers zinazoelekea Mombasa au Kwale au Kilifi au hata Tanzania lazima zishushwe na kuwekwa chini. Ila zinazokwenda Nairobi hazigusi chini, zinawekwa direct kwenye train na kuchana mbuga hadi Nairobi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha ujinga tony....

wewe huyo huyo uliyesema mombasa porn hauwezi kukuta containers,sasa ivi unakuja hapa kujidanganya kuwa Containers zote zinazokwenda nairobi huwa hazishushwi chini bali hupakuliwa direct kutoka kwenye meli....

Je wewe ndiye huwa unapangiliaga hizo containers kwamba za nairobi zinakaa juu za mombasa zikae,kilifi n.k zikae chini..?

wacha porojo kwanza asilimia kubwa ya contaoners zinaenda nairobi pili meli haiwezi kupoteza mda hapo kwa kungojea train,au truck ije na kupakua sababu kadri inavyokaa inakuwa inakatwa kato,,
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha ujinga tony....

wewe huyo huyo uliyesema mombasa porn hauwezi kukuta containers,sasa ivi unakuja hapa kujidanganya kuwa Containers zote zinazokwenda nairobi huwa hazishushwi chini bali hupakuliwa direct kutoka kwenye meli....

Je wewe ndiye huwa unapangiliaga hizo containers kwamba za nairobi zinakaa juu za mombasa zikae,kilifi n.k zikae chini..?

wacha porojo kwanza asilimia kubwa ya contaoners zinaenda nairobi pili meli haiwezi kupoteza mda hapo kwa kungojea train,au truck ije na kupakua sababu kadri inavyokaa inakuwa inakatwa kato,,
2728451_1617124296107.png
 
Tony254 zile doubledeck zipo wapi na hizi container zinafanya nn? Si ulisema zinapakuliwa na kuwekwa kwenye wagons straight?
169680404_6202844016424633_6696584956965364007_n.jpg
Your reasoning is very pathetic. Not all cargo that unloaded at the Port are destined towards Nairobi. Some remain in Mombasa so they don't need to be put on the train. The ones that are also meant to go to Tanzania don't have to be loaded on a train. So if you see those containers there you have to know that either they are not going to Nairobi or they are the empty ones that are always returned.
 
Hata SGR tumepigwa
Main Station kama soko la machinga ilala
Sub station kama police posts
Watu wamechelewesha mradi ili wapige riba ..
CAG anasema tumepigwa 35 billion kwa ucheleweshaji mradi kipande cha Dar-Moro peke yake.
Haya Mataga pigeni makofi kidogo.....
 
Hata SGR tumepigwa
Main Station kama soko la machinga ilala
Sub station kama police posts
Watu wamechelewesha mradi ili wapige riba ..
CAG anasema tumepigwa 35 billion kwa ucheleweshaji mradi kipande cha Dar-Moro peke yake.
Haya Mataga pigeni makofi kidogo.....
Una akili za ajabu sana, kwani design za station zimebadilika? mbona ziko hivyo hata kabla ujenzi haujaanza. Hayo ya riba ni ya ukaguzi wa CAG kwa FY 2019/20
 
Back
Top Bottom