Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Contract inasema walikua wata operate SGR kwa miaka kumi ndo watupatie [SGR loan inafaa kulipwa yote baada ya miaka 15] sisi sahii tumegeuza tunasema tunataka watupatie control yote ya SGR by 2022 (Yani miaka mitano baadae).... Wao wame counter hio proposal kwa kusema basi tuwalipe deni ndo watupatie sahii kinyume na contract ya awali.... Hii ni biashara na Kila mtu ana haki yake anaruhusiwa ku negotiate. Usijidai hapa na nyinyi mlipokonywa ndege kule Canada kwa kujifanya wajeuri hamtaki ku negotiate breach of contract which is protected by international law.
Usichanganye madesa ndege ilizuiliwa SA na Canada hakuna mtu au nchi yoyote yenye ubavu wakutupangia au kuzuia mali ya TZ ndani ya ardhi ya Tz.
 
Ruvu's marshalling yard
E8vYtf9WUAAuRZb




2881354_IMG_0500.jpg








VS


SGR Kenya's Kilindini Marshalling yard!
DgDicK9WAAA6xl5









MY TAKE
yajayo yanafurahisha
 
Uzi umekimbiwa huu na walengwa baada ya sindano kuzidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom