NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,572
- 48,607
can show marshalling yard ya Reli ya Kenya?
SGR ya Tanzania kwa Standard za Kenya ingekuwa imeisha miaka 3 nyuma, cause Kenya mko na Reli tu yaani (Track road).
Ila Tanzania wako na Electric power lines, Control centers and control systems ambazo Kenya hawajui lini watakuwa nao, inshort SGR ya Tanzania haina tofauti na SGR zilizopo Europe wakati Reli ya Kenya ni Sawa na MGR iliyopo pamoja na ile ya Tazara tu
Train ya Abiria sidhani kama imeachana na hii.