makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mradi una danadana kibao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sijaona kwamba jamaa wamefunga virago? Hebu tafuta ushahidi zaidi tuonyeshe kwamba jamaa wanafungasha virago hapa sio kuleta stori ya vijigazeti uchwara vya wakenya😎We jamaa kila kitu unataka ushahidi as if hujui kinachoendelea.. haya ingia hapa uone kinachoendelea na uyo contrator
Sasa financial crisis walionayo mpak kupunguza wafanyakazi unategemea huo mradi utaisha leo? Mpaka leo hatuambiwi maendelea ya mradi lot 3 na 4 badala yake tunaoneshwa mwanza pekee.. we unafikiru sababu ni nini?Mbona sijaona kwamba jamaa wamefunga virago? Hebu tafuta ushahidi zaidi tuonyeshe hapa sio kuleta stori ya vijigazeti uchwara😎
Wewe unasema mradi umesimama, nakuambia lete ushahidi umeshindwa unabaki kuleta vijistori visivyo na mwanzo wala mwisho. Watu wana akili; usifikirie wote tuna mawazo hafifu😎😎Sasa financial crisis walionayo mpak kupunguza wafanyakazi unategemea huo mradi utaisha leo? Mpaka leo hatuambiwi maendelea ya mradi lot 3 na 4 badala yake tunaoneshwa mwanza pekee.. we unafikiru sababu ni nini?
Mradi umesimama sababu ya financial crisis.. unataka ushahidi wa aina gan?Wewe unasema mradi umesimama, nakuambia lete ushahidi umeshindwa unabaki kuleta vijistori visivyo na mwanzo wala mwisho. Watu wana akili; usifikirie wote tuna mawazo hafifu😎😎
Hivi Kaka ulikua wapi Serikali ikisaini mikataba ya fedha Na Uhispania kubusti ujenzi Wa SGR??Turkey contractor confirms $1.8bn gap in funding Tanzania SGR | The East African
Embu angalia link urudi hapa uniambie hizo lot 3 na 4 zitaisha lini
Huyo jamaa Remark ndio wale wale. Kujibizana naye ni sawa na kupoteza muda😎😎😎Hivi Kaka ulikua wapi Serikali ikisaini mikataba ya fedha Na Uhispania kubusti ujenzi Wa SGR??
Hawajatoa tarehe rasmi ya ujenzi kukamilka Ila fedha zimepatikana kuendeleza ujenzi maana palipokamilika Ni Dar mpk Singida
Endelea na upuuzi wako. Sina shida na hilo🙂Ila wewe ni mtu wa kubwabwaja sana yan hunaga tofauti na watu wa uswahilini wanaongeaga kwa mipasho.. wewe hili aliloongea mwenzako na uhakika hata hukua unajua lolote..
Basi Wacha tufunike kombe mwanaharam apite.Huyo jamaa Remark ndio wale wale. Kujibizana naye ni sawa na kupoteza muda😎😎😎
Huo moto utaowaka utakuwa mkali😎Hii inapaswa kupelekwa kule Twitter kwa Kenya vs Tanzania battle!
watakufa wa kihoro walahiHii inapaswa kupelekwa kule Twitter kwa Kenya vs Tanzania battle!