Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Mbona sijaona kwamba jamaa wamefunga virago? Hebu tafuta ushahidi zaidi tuonyeshe hapa sio kuleta stori ya vijigazeti uchwara😎
Sasa financial crisis walionayo mpak kupunguza wafanyakazi unategemea huo mradi utaisha leo? Mpaka leo hatuambiwi maendelea ya mradi lot 3 na 4 badala yake tunaoneshwa mwanza pekee.. we unafikiru sababu ni nini?
 
Sasa financial crisis walionayo mpak kupunguza wafanyakazi unategemea huo mradi utaisha leo? Mpaka leo hatuambiwi maendelea ya mradi lot 3 na 4 badala yake tunaoneshwa mwanza pekee.. we unafikiru sababu ni nini?
Wewe unasema mradi umesimama, nakuambia lete ushahidi umeshindwa unabaki kuleta vijistori visivyo na mwanzo wala mwisho. Watu wana akili; usifikirie wote tuna mawazo hafifu😎😎
 
Wewe unasema mradi umesimama, nakuambia lete ushahidi umeshindwa unabaki kuleta vijistori visivyo na mwanzo wala mwisho. Watu wana akili; usifikirie wote tuna mawazo hafifu😎😎
Mradi umesimama sababu ya financial crisis.. unataka ushahidi wa aina gan?
Haya nakutaka wewe uniletee ushahid ya mradi unavyoendelea kwenye kipande cha 3 na cha 4
 
Hivi Kaka ulikua wapi Serikali ikisaini mikataba ya fedha Na Uhispania kubusti ujenzi Wa SGR??
Hawajatoa tarehe rasmi ya ujenzi kukamilka Ila fedha zimepatikana kuendeleza ujenzi maana palipokamilika Ni Dar mpk Singida
Huyo jamaa Remark ndio wale wale. Kujibizana naye ni sawa na kupoteza muda😎😎😎
 
Huyo jamaa Remark ndio wale wale. Kujibizana naye ni sawa na kupoteza muda😎😎😎
Ila wewe ni mtu wa kubwabwaja sana yan hunaga tofauti na watu wa uswahilini wanaongeaga kwa mipasho.. wewe hili aliloongea mwenzako na uhakika hata hukua unajua lolote..
 

Attachments

  • 4CE7BDD1-9C7A-4B1C-9A63-61087C10150D.jpeg
    4CE7BDD1-9C7A-4B1C-9A63-61087C10150D.jpeg
    53.6 KB · Views: 4
Back
Top Bottom