Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

GNVtfqNWQAAftW2.jpeg
GNVtfugX0AAjiUI.jpeg
 
hawa jamaa tumewapiga bao sana 😂😂😂. wanaangalia sura wakati hata mbuzi anayo 🤣
IMG_20240512_081655.jpg
 
sio mimi niliochagua hapa 👇
View attachment 2986625
kwaio usinililie mm.
waliochagua wako kibiashara zaidi na wanajua changamoto zinazokuja na electric trains. most of the countries zinazotumia electric trains, wanazitumia from city A to city B (intercities) ambayo huwa 200 - 400kms. sasa nyinyi na akili zenu mulizorithi toka kwa Kinjekitile Ngwale mumekurupuka.
btw Kenya Sgr is Chinese Class 1 standard.
dogo, amini usiamini, after 5yrs your Sgr will be worn out na hii ndio situation tunayoenda kushuhudia 👇
View attachment 2986631

View: https://twitter.com/ikulumawasliano/status/1789299405247365236
 
jamaa umepanic. tushaelewana na Kosugi kuwa kuwa hizi high speed/ electric trains mara nyingi zinatumika kutoka point A to point B (intercities) mainly for passengers (mass transportation). mara nyingi zinakuwa 200 to 400kms ambapo kama Nairobi na Mombasa ikiunganishwa inaweza make sense kwa ni majiji ya kueleweka.
tuchukulie mfano tu Dar to Dodoma... hebu niambie Dodoma kuna mpango gani.
ndio kwa maana nasema nyie mumekurupuka kujenga 10,000kms ya Big White Elephant.
View attachment 2987561View attachment 2987562
Buddah are you sick!?🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🤣🤣🤣😆
China ina mtandao wa reli wa zaidi ya 800kms mzee tena ya electric trains na husafirisha watu na mizigo.
Je hiyo imekaaje!?
Tanzania kutoka ukanda wa wa pwani(Dar es salaam,Bagamoyo) kwenda kanda ya kati na kanda ya ziwa usafiri mkubwa unaotumika ni wa reli.
Pia mizigo mingi kuja na kwenda Tanzania hutokea kati ya kanda ya kati,pwani na ziwa hivyo ni lazima utumiaji wa reli.
Reli hii itarahisisha mizigo itokayo kanda ya ziwa kuja kanda ya kati na pwani kiharaka na wepesi.
Pia usisahau reli ya kwenda Uganda ilifufuliwa,hivyo hii pia itasaidia katika ufikishaji mizigo Uganda kiwepesi na kiuharaka.
Embu kaifuatilie reli ya China uone mtandao wake ulivyo mrefu wa kutumia treni za umeme kuliko mtandao wowote Afrika kesha urudi.
 
tatizo lako ni kuwa unajibu kwa hisia kali sana. punguza jazba dogo. coodip1 na Kosugi wote wananielewa na wanajua historia.
sasa nikuulize, how old are you?
hivi hujui kuwa miaka yote Tanzania imekuwa na wivu wa kike hadi kusababisha kuvunjika kwa EAC miaka ya sabini?
wacha mapepe.
🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🤣🤣🤣🤣We makalio.
Mbona unatulisha maneno!?
Nani amekuelewa!?
Mbona unalazimisha watu tukuelewe!?
Kenya wivu wake na uzandiki wake ndiye aliyesababisha collapsing of EAC 1970s.
Hivi unalijua hilo!?
Alileta sera za kiuchumi ambazo zilileta mzozo wa kuhodhi mali za jumuiya ya Afrika Mashariki.
Je unalijua hilo!?
Usitulazimishe tukuelewe buddah.
Usitulishe maneno bhanaaa!
 
hawa jamaa tumewapiga bao sana 😂😂😂. wanaangalia sura wakati hata mbuzi anayo 🤣
View attachment 2988501
hawa jamaa tumewapiga bao sana 😂😂😂. wanaangalia sura wakati hata mbuzi anayo 🤣
View attachment 2988501
Pumba tupu eti 18 tones
Eti dar - Moro
Ni mjinga gani ameandika huu upupu ????
Malaba - Kampala imejengwa ?? ela hakuna, mkandarasi hayupo site !!!
Nini kilimkataza Huyo mjinga kuandika Dar - Tabora - Mwanza - kigoma - msongati ?Kama anajumlisha na reli iliyo Kwenye mipango
Mpaka sasahivi Tanzania imejenga kilometa nyingi kuliko Kenya almost 1000+
Uganda hajajenga Hata mita 1 ya Sgr .
Nani .
Mwambie huyo ndugu yako asiandike Tena huu upuuzi kama hajui aulize .
 
Pumba tupu eti 18 tones
Eti dar - Moro
Ni mjinga gani ameandika huu upupu ????
Malaba - Kampala imejengwa ?? ela hakuna, mkandarasi hayupo site !!!
Nini kilimkataza Huyo mjinga kuandika Dar - Tabora - Mwanza - kigoma - msongati ?Kama anajumlisha na reli iliyo Kwenye mipango
Mpaka sasahivi Tanzania imejenga kilometa nyingi kuliko Kenya almost 1000+
Uganda hajajenga Hata mita 1 ya Sgr .
Nani .
Mwambie huyo ndugu yako asiandike Tena huu upuuzi kama hajui aulize .
ndio ujue kwamba your sgr is inferior.
18m tonnes per annum (maximum) wakati Kenya ana uwezo wa kupitisha 35m tonnes/ annum.
IMG_20240510_123011.jpg
 
Amka usingizini
Dar - makutopora 750+ kms ( 100% completed)

Mwanza - isaka 320 + kms ( more than 51% completed )
Makutopora - Tabora
250 + kms ( more than 67% completed )
Correction** Dar - Mukatupora = 550km 👇

IMG_20240512_192022.jpg

hapa tunaongelelea Complete Projects only. sio mambo ya kubahatisha ya 'nasikia' au 'itakuwa, itakuwa'..... cut that bullcrap! 😩😩🚮🚮
wacha nikukumbushe tu tulipotoka 👇
IMG_20240512_191117.jpg
IMG_20240512_191042.jpg
IMG_20240512_190951.jpg
 
ndio ujue kwamba your sgr is inferior.
18m tonnes per annum (maximum) wakati Kenya ana uwezo wa kupitisha 35m tonnes/ annum.
View attachment 2988825
Ngoja upate elimu kidogo.
Tanzania Ina reli nyingi kuliko kenya
Projection ya 18 milion tons maanake Hiyo ni Sgr central corrridor alone kulingana na Mahitaji ya nchi husika DRC, Burundi , Rwanda na Uganda .
Mahitaji yakiongezeka reli haina limit ya kupitisha mizigo
Kuna central corridor mgr , Tazara southern corridor ya Zambia , plus trucks carrying cargo to Malawi and DRC Lubumbashi inakuwa almost 15 millions tons .
 
Correction** Dar - Mukatupora = 550km 👇

View attachment 2988866
hapa tunaongelelea Complete Projects only. sio mambo ya kubahatisha ya 'nasikia' au 'itakuwa, itakuwa'..... cut that bullcrap! 😩😩🚮🚮
wacha nikukumbushe tu tulipotoka 👇
View attachment 2988868View attachment 2988869View attachment 2988870
Na hizo kms za kupisha umeweka wapi ?
550 kms ni umbali Halisi wa Dar to makutopora bila kujumlisha umbali wa trucks za kupishana ambapo Jumla yake ni 750 + kms .
 
Back
Top Bottom