Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli hata mimi niko hapa beam yard Mkuyuni, hata kula siku hizi hatuli kabisa
iza bro. i feel your pain. yote hayo yatapita. 😭😭😭tunakula mapera na maji
Mchina labda afanye ukarabati wa reli ya Tazara. Sgr sahau ndugu yangu..... hukuskia sababu alizozitoa M7 wakati alipoipiga chini reli ya Tanzania na kuikumbatia reli ya Kenya??? 🤣Mchina atajenga kwa kutoa msaada au inakuwaje?
Hivi Kenya ameshajenga reli ya naivasha to Malaba au ni ndoto nzuri za mchana Uganda na Kenya wanaota?Mchina labda afanye ukarabati wa reli ya Tazara. Sgr sahau ndugu yangu..... hukuskia sababu alizozitoa M7 wakati alipoipiga chini reli ya Tanzania na kuikumbatia reli ya Kenya??? 🤣
Kwa hii uliopost,wacha nisadikishe sasa hivi Tanzania inapiga mbio za sakafuni zinazoishia ukingoni.
thanks for finally seeing the light bro. it's been a long time coming.Kwa hii uliopost,wacha nisadikishe sasa hivi Tanzania inapiga mbio za sakafuni zinazoishia ukingoni.
Huyu mama katurudisha sana nyuma.
Si ajabu yote hayo yakatokea kama jamaa anavyosema.
jamaa wanapita kimya kimya! Mie nangoja treni za mizigo zianze kuingia!Treni urefu 2km mabehewa hayaishi
Kwenye ukweli lazima tuzungumze ukweli.thanks for finally seeing the light bro. it's been a long time coming.
Hizi train according to TRC zinaweza tembea mpaka 205km/hrGeza Ulole
Nimeona clip moja.
Kumbe train linawezeka tembea zaidi ya 160km/h
Nimeona speed zaidi ya 160
Treni yao max length 800 metresjamaa wanapita kimya kimya! Mie nangoja treni za mizigo zianze kuingia!
unawania Dodoma au Mukatupora ili iweje sasa??Hizi train according to TRC zinaweza tembea mpaka 205km/hr
tunaangalia mizigo!!! tani ngapi unabeba. isiwe unabeba empty containers kisha unakuja kukenua meno hapa.Treni yao max length 800 metres
A rolling stock has 2 boggies each with 2 axles making a total of 4 axles.tunaangalia mizigo!!! tani ngapi unabeba. isiwe unabeba empty containers kisha unakuja kukenua meno hapa.
Sentensi ya mwisho itakua Changamoto kwake😂A rolling stock has 2 boggies each with 2 axles making a total of 4 axles.
Now a rail that can carry 25 tons per axle means a maximum load of 100 tons per rolling stock while a rail that can carry 35 tons per axle means a maximum load of 140 tons per rolling stock.
A tain length of 2km with 140 tons per rolling stock and a train of 800 metres with 100 tons per rolling stock which carries more cargo?
Kwenye speed naona tusifike huko maana speed contributes directly to a higher turnaround times.
Je ni train ipi kati ya hizi mbili inayobeba mzigo mwingi?
Jibu kama msomi uletee heshima elimu yenu.