Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
IMG_20240606_120900.jpg

F71Kb_bWMAALv6X.jpeg
IMG_20240530_185357.jpg
 
Seven years running.... still going strong 💪 💪 💪
GPY35KjbYAEINqj.jpeg

wengine walijaribu kuiga, mwaka wa kumi sasa, wako wapi???
lel-teeth.gif
 
hii habari imenisikitisha sana, sana, tena sana......! hivi inakua kuaje hadi unauza raslimali za nchi?
IMG_20240607_182351.jpg
 
tujikumbushe kidogo tu tulipotoka maana tumetoka mbali sana 👇
IMG_20240609_102201.jpg
 
aiseeeee 🤣🤣🤣🤣🤣. watu pumzi zimeisha kabisa. wanaususia uzi huu hawajui wafanye nn 🤭🤭🤣🤣🤣
na niliwaambia lakini wakakataa kuniskiza... haya ona sasa 👇
View attachment 3009633
View attachment 3009634
View attachment 3009635
Ujinga wa Samia Suluhu usiharibu jitihada za Magufuli.
Reli ya SGR kwa kiasi kikubwa pesa za ndani zilitumika.
Ila tujiulize Samia anaendeshaje mambo mpaka anakopa pesa zaidi ya watangulizi wake na miradi haikamiliki!?
Maana ndani ya miaka 3-4 kakopa pesa sawa na watangulizi wake waliokopa ndani ya miaka 10.
Pesa zinaenda wapi!?
Na mbona marehemu hakukopa sana na miradi ikawa inaenda!?
Magufuli is Magufuli tu.
 
Back
Top Bottom