Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Kamanda huchoki kuokoteza?
😂😂😂🤦

IMG_20240621_123345.jpg
 
Lewis254
Sikiliza treni halina mngurumo/msauti/makelele/Fujo mingi kama lenu 😃😃😃😃
 
Watu wanalazimika kutumia makaravati ya maji ili kuvuka hii ni hatari kwa watoto nyakati za masika,ni Bora waweke vyuma ili kuzuia watu kupenya sababu hawakufikiria kuweka vivuko vya waenda kwa miguu wao waliipa kipaumbele treni tu bila kuangalia watu watavukaje ili watu kufata huduma za kijamii.
Mainjia wetu wao wanakaa masaki osterbay bunju na mbezi adha ya uzio sio sehemu ya maisha yao.
Walishindwa vipi kuweka box za kuvukia upande wa pili chini ya reli kwenye mapitio ya asili ya watu mfano wa haya kwa kuinua reli na kuweka haya mabox ili watu na bodaboda vipite gari zikazunguke darajani.
 

Attachments

  • Pedestrian-Tunnel-Timelapse-Video-1.png
    Pedestrian-Tunnel-Timelapse-Video-1.png
    2.1 MB · Views: 3
  • Underpass_NorthEnd.jpg
    Underpass_NorthEnd.jpg
    1.2 MB · Views: 3
  • 1674939-628447.jpg
    1674939-628447.jpg
    89 KB · Views: 3
Watu wanalazimika kutumia makaravati ya maji ili kuvuka hii ni hatari kwa watoto nyakati za masika,ni Bora waweke vyuma ili kuzuia watu kupenya sababu hawakufikiria kuweka vivuko vya waenda kwa miguu wao waliipa kipaumbele treni tu bila kuangalia watu watavukaje ili watu kufata huduma za kijamii.
Mainjia wetu wao wanakaa masaki osterbay bunju na mbezi adha ya uzio sio sehemu ya maisha yao.
Walishindwa vipi kuweka box za kuvukia upande wa pili chini ya reli kwenye mapitio ya asili ya watu mfano wa haya.
Tuta wangiinua juu kidogo ili watu wapite chini
 
Watu wanalazimika kutumia makaravati ya maji ili kuvuka hii ni hatari kwa watoto nyakati za masika,ni Bora waweke vyuma ili kuzuia watu kupenya sababu hawakufikiria kuweka vivuko vya waenda kwa miguu wao waliipa kipaumbele treni tu bila kuangalia watu watavukaje ili watu kufata huduma za kijamii.
Mainjia wetu wao wanakaa masaki osterbay bunju na mbezi adha ya uzio sio sehemu ya maisha yao.
Walishindwa vipi kuweka box za kuvukia upande wa pili chini ya reli kwenye mapitio ya asili ya watu mfano wa haya.
Kuna sehemu nimeona mpaka kokote zinatoka za reli kisa watu wanapita
20240621_155727.jpg

Hapo ni gongolamboto watu wanavuka juu ya SGR.

20240621_155459.jpg
 
Kuna sehemu nimeona mpaka kokote zinatoka za reli kisa watu wanapita
View attachment 3022286
Hapo ni gongolamboto watu wanavuka juu ya SGR.

View attachment 3022287
Wangeweka box za kuvukia chini ya reli hakuna mtu angepita juu ya reli.
Mbona mifugo mbugani imewekewa mabox ya kuvukia walishindwa nini kuweka mjini ili kulinda huo uzio.
Wanadhani mswahili utamdhibiti kwa uzio ngoja huo mradi uishe watakata sana vipenyo vya kuvukia,
 
Back
Top Bottom