Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Jamaa wanatafuta kifo kwa nguvu😎😎😎View attachment 3022224
Gongolamboto wangeweka uzio upande wa pili sasa saa 10:00 treni linaondoka kule watu wanakaa tuu kwenye reli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa wanatafuta kifo kwa nguvu😎😎😎View attachment 3022224
Gongolamboto wangeweka uzio upande wa pili sasa saa 10:00 treni linaondoka kule watu wanakaa tuu kwenye reli
Sasa nikaibe ili nienda nazo wapi , wabongo bhanaili ukaibe nyoko wewe!
Kwa sababu mwingine kaniambia nataka kwenda kuiba, Geza UlolePossibly train detection or position sensors.
Ni atari sana nimeliona leo, lepo speedJamaa wanatafuta kifo kwa nguvu😎😎😎
Umenipa mwangaPossibly train detection or position sensors.
Hiyo picha ni ya zamani!View attachment 3022224
Gongolamboto wangeweka uzio upande wa pili sasa saa 10:00 treni linaondoka kule watu wanakaa tuu kwenye reli
tuletee picha nyingi kutoka ground, gongo la mboto
Nimepiga leoHiyo picha ni ya zamani!
Hata video hio nimechukua leoNimepiga leo
Hio imetokea hivyo kwa sababu watu wanavuka kwa juu,😊😊
View attachment 3022369
View attachment 3022370
i told ya 😂😂🤭👇
View attachment 3022371
what kind of an embankment is this 👇👇
View attachment 3022379
satan!
halafu kumbuka mkandarasi naye alishaingia mitini kwahio itabaki kuwa hivyo. reli gani hii haina tuta la kueleweka??? week moja tu tayari na limeshaanza kudondoka? 🤣Hio imetokea hivyo kwa sababu watu wanavuka kwa juu,
Ndo maana kuna mmoja hapo kasema sehemu zingine hawajajenga vivuko kwa mfano gongolamboto hawajajenga.
bongodili tele
hakuna hata drainage system.... very very dangerous!Mfano hio nimescreenshoot kwenye video niliyorekodi leo.
embankment ni ndogo sana ni ngumu kuweka kivuko kwa chini.
View attachment 3022409