Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upumbavu english hujui na Swahili hujui. Hapo wewe kima umeelewaje?shukran sana bro 🤣
View attachment 3022678
Hapo ni eneo la Njia panda ya Majumba sita overpass ilikuwa haijakamilika bodaboda, bajaj na pedestrian walikuwa wana Cross hapo.ati hii ndio itakayobeba 2km long of nonsense 👇
View attachment 3022704
oya coodip1 come out of your hiding. picha imepigwa leo hii 🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu hapo sio eneo la majumba sita , ni gongolamboto sokoni kwa nyuma kule ndo kuna reli ya SGR.Hapo ni eneo la Njia panda ya Majumba sita overpass ilikuwa haijakamilika bodaboda, bajaj na pedestrian walikuwa wana Cross hapo.
Narrow Gauge Uganda!ndani ya week moja tu tayari,, reli imechakarika vibaya na hapo bado haijaanza kubeba mizigo wala kukutana na aina yoyote ya natural calamities.
hebu cheki hapa utadhani mbavu za mbwa 👇
View attachment 3022703
acha kujitoa ufahamu. railway ndani ya wiki moja imepauka namna hio hapo kuna durability gani? hizi mbavu za umbwa ndio unataka kuniambia ziko 'more robust' na 'safe' kweli 👇Acha upumbavu english hujui na Swahili hujui. Hapo wewe kima umeelewaje?
ndio ujue kwamba hapa na-deal na walemavu wa akili (machizi), hebu sikia mmoja anasema ni Majumba Sita na mwengine ameikana kabisa hio picha anasema uwaregeshee Waganda Mgr yao.Mkuu hapo sio eneo la majumba sita , ni gongolamboto sokoni kwa nyuma kule ndo kuna reli ya SGR.
Watu wanavuka , kwa hapo Balaji haivuki labda mtu kwa kukokota baskeli. Na waenda kwa miguu
i totally agree with you brother. Mturuki ni mtu katili sana.... kamwe sitowai msahau kwa alichokifanya hapa 👇Utaumia bure mzee..hakuna nchi yyte dunia ambayo inampata mchina katika masuala ya reli na kila kitu katika hyo sector..
Ulaya wenyewe pia wanamtambua
Hao ndio wanaomomonyoa hizo sehemu kwani fencing bado huko au kuna kivuko cha juu cha magari kinajen gwaMkuu hapo sio eneo la majumba sita , ni gongolamboto sokoni kwa nyuma kule ndo kuna reli ya SGR.
Watu wanavuka , kwa hapo Balaji haivuki labda mtu kwa kukokota baskeli. Na waenda kwa miguu
Kafie mbele wewe baki na garimoshi lenu kwanza linahitaji engine overhaulndio ujue kwamba hapa na-deal na walemavu wa akili (machizi), hebu sikia mmoja anasema ni Majumba Sita na mwengine ameikana kabisa hio picha anasema uwaregeshee Waganda Mgr yao.
nikiwaita washenzi, itakua sijatukana mtu.
tupia picha zingine ukipata nafasi.
leo nime-offer kukupa free lessons. free of charge. jikite kwenye mada ðŸ¤ðŸ¤£Kafie mbele wewe baki na garimoshi lenu kwanza linahitaji engine overhaul
Wacha picha fake!ati hii ndio itakayobeba 2km long of nonsense 👇
View attachment 3022704
oya coodip1 come out of your hiding. picha imepigwa leo hii 🤣🤣🤣🤣🤣
leo nime-offer kukupa free lessons. free of charge. jikite kwenye mada ðŸ¤ðŸ¤£
View attachment 3023052
View attachment 3023051
tuliwaambia zamani sana kwamba reli yenu mnajenga flat sana kama barabara ya lami na hamuweki slope protection, matokeo yake ndio haya 👇
View attachment 3023053
View attachment 3023054
View attachment 3023055
Ikiwa mpyaa!wamechanganyikiwa hadi wanaleta habari za 2016 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 3023095
View attachment 3023097