Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
- Thread starter
- #17,021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nyang’au wa kibongo mbona unasumbuka sana na sgr ya Tz?😎😁
picha zinatumwa sasa. mulijenga reli usiku usiku na ndani ya misitu, tukiwaambia mutume hata kapicha kamoja ka mita mbili pekee munarusha mitusi.Wewe nyang’au wa kibongo mbona unasumbuka sana na sgr ya Tz?😎😁
#Rutomustgo.
#Rutomustgo. Nisalimie BoniYai na Mdude😎picha zinatumwa sasa. mulijenga reli usiku usiku na ndani ya misitu, tukiwaambia mutume hata kapicha kamoja ka mita mbili pekee munarusha mitusi.
sasa angalia, very poor finishing, hakuna tuta la kueleweka, hakuna slope protection, hakuna mitaro, hakuna fence,,, hizi hakuna ni nyingi sana!! all in all, you get what you paid for 👇
View attachment 3023921
View attachment 3023922
View attachment 3023923
ni ubishi tu wa watu hiyo sehemu ya soko mita kama 50 au 70 panakalavati kubwa tu pikipiki na watu wanipita bila shida ni gali tu ndo aliwezi pita shida yake kipindi cha mvua linajaa maji watembea kwa mguu hawawezi pita ila pikipiki zinapita vizuli nitatizo dogo tu wanaweza chimba mfeleji maji yakaendaYah wafanye sio Geza Ulole unakataa mara ni picha ya zamani mara si TZ.
Leo nimeona hata nguzo zipo kwa ajiri ya fensi
View attachment 3023876
View attachment 3023877
Mradi mzuri.
Hata mimi naona treni mzuri sana tena inatumia technology kubwa hata kuliko ya kenya.
Leo jioni nilipita naenda maskani nikaona hilo 👇 wameziba.ni ubishi tu wa watu hiyo sehemu ya soko mita kama 50 au 70 panakalavati kubwa tu pikipiki na watu wanipita bila shida ni gali tu ndo aliwezi pita shida yake kipindi cha mvua linajaa maji watembea kwa mguu hawawezi pita ila pikipiki zinapita vizuli nitatizo dogo tu wanaweza chimba mfeleji maji yakaenda
Na ni kweli ni kalawavati maana hali yake ni hii mkuu👇ni ubishi tu wa watu hiyo sehemu ya soko mita kama 50 au 70 panakalavati kubwa tu pikipiki na watu wanipita bila shida ni gali tu ndo aliwezi pita shida yake kipindi cha mvua linajaa maji watembea kwa mguu hawawezi pita ila pikipiki zinapita vizuli nitatizo dogo tu wanaweza chimba mfeleji maji yakaenda
Pikipiki wamekataza kupita ndo maana unaona wameweka magogo hakuna boda kupita kwa sababu watu ni wengi.ni ubishi tu wa watu hiyo sehemu ya soko mita kama 50 au 70 panakalavati kubwa tu pikipiki na watu wanipita bila shida ni gali tu ndo aliwezi pita shida yake kipindi cha mvua linajaa maji watembea kwa mguu hawawezi pita ila pikipiki zinapita vizuli nitatizo dogo tu wanaweza chimba mfeleji maji yakaenda
Pikipiki wamekataza kupita ndo maana unaona wameweka magogo hakuna boda kupita kwa sababu watu ni wengi.
Sasa kama ulivyosema ikija mvua linajaa maji kama mwanzoni mwa mwaka huu maji yalijaa mpk wakafungua pale nafikili maana waliziba mara ya kwanza , sasa msimu wameziba ,
Ikija mvua Pakajaa maji sijui itakuwaje. Maana Kalavati lenyewe ni kama bonde hivi flani, maji mmamyanatuwama pale.
TRC waweke grillNa ni kweli ni kalawavati maana hali yake ni hii mkuu👇
View attachment 3024013