Nyangau akiona vitu kama hivi huwa mzigo unagonga chupi 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bonzo ww. Marekani hana mda na umemeNdio
Currently, Your SGR is a total failure, why wasting money?Mkuu, habari njema kama hizi lazma ziambatane na mapichapicha
View attachment 3045194
View attachment 3045195
View attachment 3045196
View attachment 3045197
What is bonzo 😁bonzo ww. Marekani hana mda na umeme
Wao wanasema yao ni SGR ndani ya jengo yetu ndio canopy kwa hivo yao ni bora. 🤣 🤣Sasa ya kenya mi yanini mimi jimezungumza huku, kwa hio wakenya wakinyeshewa mvua na sisi iwe hivyo hivyo??
Nimeona mpk dodoma hivyo hivyo.
View attachment 3023435
View attachment 3023436
View attachment 3023437
Mabehewa 14 yanatosha hako kaeneo.
Si mabehewa 3 tuu. Mengine yote yapo nje.
Kuna makosa madogo madogo hamtaki kukubali.
Kama mlijua kuwa kutakuwa na tteni la mabehewa 14 kwa nini msingeweka ???
limbukeni tu hao 😁😁Nimo kwenye treni ya SGR kila anayeongea na simu lazima aseme niko kwenye treni ya SGR, ni kama sisi sote tumekuwa chawa wa hii treni
acha ulimbukeni ww.Mbona na wewe unatuambia upo kwenye treni ya sgr? Ha ha ha😎
Hebu acha upuuzi wako kamanda🙂acha ulimbukeni ww.
cheki hapa uniambie ni wapi tunakoelekea 👇Hebu acha upuuzi kamanda🙂