We mbuzi wa kibera unataka kubisha kama Tanzania ndio ina bwawa kubwa la umeme hapa Afrika mashariki na kati!?😂😂 povu la nini sasa? mbona unaandika kwa hisia kali namna hiyo? kwa hiyo sasa nikuamini ww instead kwa kuharahara with no tangible or credible sources/ data?
jitafakari sana... Kenya sio level yako.
wapuuzi hawa. hawana akili, ndio maana Kenya iko 30yrs mbele. yaani walipo saa hii, ndio Kenya ilikua 1990
Kenya mna bwawa kubwa kuliko la nyerere??
Unataka kubisha kama JKCI ndio kitengo kikubwa cha moyo kinachomilikiwa na serikali huu ukanda???
Unataka kubisha kama Kigogo-Busisi daraja la urefu wa 3+kilometres ndio daraja refu ukanda huu!?
Unakaa unadanganyana na huyo mbung'o mwenzako eti TZ inawa copy ninyi,wapuuzi kweli nyie.