Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

ndio hawa hapa,,, wakishashiba mihogo ya kuchemsha na chai isiyokuwa na maziwa, wanajiona King Kong 😁😁😁 wanakuja kujibizana na Wakenya 👇
IMG_20240819_231817.png
 
ukosefu wa lishe bora... 😁😁
IMG_20240819_232549.jpg

wanasema wako food secured kumbe ni ushuzi mtupu
 
ukosefu wa lishe bora... 😁😁
View attachment 3074442
wanasema wako food secured kumbe ni ushuzi mtupu
Malnutrition is caused by either too much food intake inappropriately or less food intake.
Tanzania malnutrition inasababishwa na ukosefu wa elimu ya lishe bora.
Ila sio uhaba wa chakula.
Bali ukosefu wa elimu ya lishe bora ndio sababu ya malnutrition.
Kama uko kanda ya ziwa unamkuta mtoto analishwa asubuhi ugali,mchana ugali,unadhani balanced diet inakujaje?

Kenya mna SEVERE HUNGER.
Embu soma hapo chini.
Screenshot_2024-08-19-23-55-10-31_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
makinika dogo, nataka kudeal na hili kubwa jinga sho Kosugi hadi likimbie uzi
Utakimbia wewe humu ndani.
Hili la chakula tayari nimesha prove Kenya ni food insecure.
Hivyo taifa lisiloweza kujilisha haliwezi kusema lipo mbele yetu kwa namna yeyote.
 
Mijitu tunailisha halafu inakuwa mipumbavu namna hii! Sisi hata wakati wa famine in the region mikoa ya nyanda za Juu kusini na food reserve hulisha Tanzania nzima plus Kundustan!
We ngojea nimtwange na takwimu za kimataifa mbaka akimbie uzi.
 
Ilete hiyo hunger report.
Mbona WFP na FAO hawajaiweka Tanzania katika list ya nchi zinazohitaji food external aid!?
Kwanini iwe Kenya na sio Tanzania!?
IMG_20240819_231817.png


maskini wa kutupwa 😁😁😁
IMG_20240820_000710.jpg

 
We ngojea nimtwange na takwimu za kimataifa mbaka akimbie uzi.
takwimu gani ama ni kuhara unahara tu 😁😁😁
msaada munapewa na munachukua hivyohivyo kiroho mbaya ijapokuwa huwa muna haya nyingi sana.
sio kwa watoto pekee hata watu wazima pia wana utapia mlo Tanzania
IMG_20240820_002303.jpg

 
Tanzania hii moja ambayo watu kunywa chai ya maziwa ni anasa? 🙆🙆🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom