Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?

Could there be a problem with our vetting systems? These hirings and firings hazitaonekana kama signs za incompetence on part of appointing authority?

Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.

Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za ofisi nyeti ile, hazitaonekana kama early signs of incompetence on part of the appointing authority?.

Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, yaani ma DGIS 4 wanakuwa hired na fired ndani ya miaka 3! Haijapata kutokea! what is it exactly?

Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?

Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.

Paskali

Cc. britanicca
Shemeji yangu Paskali, uwe hivyo siku zote.
Kuna kitu hakiko sawa ktk nchi yetu. Mfano huwezi amini Mkoa kama Mwanza ndani ya miezi kadhaa wamebadilishwa Wakuu wa mikoa takriban 4. Hata kama una haraka ya maendeleo,kwa style hiyo siyo sawa.
 
Ila haka katabia kakupenda kuvichezea vyombo vya usalama ikiwemo Idara si alikaanzisha Msukuma mwenzako, au unasahau bwana Pascal Mayalla ? Huyu Mzanzibari anaiga tu kwasababu alikuta mfumo umeshabomolewa na wanasiasa.

Msukuma mwenzako alianza kwa kumfukuza Robert Masalika Makungu aliyekuwa Deputy wa TISS na kumpeleka kuwa RAS Njombe. Chanzo ni hasira za ile Trilioni 1.5. Watanzania mkashangilia kweli, kama ilivyo kawaida yenu.

Baadaye akamkamata Mkurugenzi wa TISS, Bwana Kipilimba na kumweka chini ya kizuizi na mwishowe kumfukuzia kule Namibia. Watanzania kama kawaida yenu mkashangilia kweli, bila kufahamu Raisi Magufuli anajenga Precedent mbaya mno.

Kipindi hichi chote Msukuma mwenzako anapanga na kupangua watu ndani ya Idara kwa misukumo ya kisiasa na kutengeneza uhasama ambao tamati yake ilifika mwezi Machi 2023, wote mlikuwa mnashangilia na kusifia kweli. Wengine mlisifia kwasababu ni mtu wa nyumbani.

Huyu Mzanzibari kaingia keshakuta Idara imechafuka mno kutokana na vurumai alilosababisha Msukuma mwenzako kisa mihemko ya kisiasa ya kutamani kutawala milele kama mfalme. Alikuwa anafanya vizuri kwenye baadhi ya mambo lakini nadhani kwenye masuala ya usalama alikuwa hana ufahamu mpana na mwishowe wahuni wakamzidi karata.

Mzanzibari anaiga tu alichoona mtangulizi wake anakifanya. Mpaka siku anaondoka madarakani, tutakuwa tuna nchi ya ajabu kuwahi kutokea na sidhani kama Tanzania itakuja kurudi kuwa kama ilivyokuwa zamani. Haiwezekani na tumeshavuka mstari mwekundu.

Humo Idarani kutakuwa ni kukomeshana na kukomoana kwasababu tu. Hata huyu Bwana Mombo hatakaa muda kwenye hiyo nafasi, wewe subiria uone gemu.​
Kongole ndugu MALCOM LUMUMBA kwa huu mchango wako muhimu.

Huu mchango unatakiwa uwe "laminated" na uwekwe "sticky" pale juu.
 
To my opinion, vetting is ok system, but wadau wakishapewa madaraka wanabadilika, mfano Nawanda ambaye alikua RC, baada ya kupewa vyeo anafukua mitaro ya watoto.

Kuna shida kubwa sana na hawa viongozi, wakishapata madaraka na pesa, wanaanza kulewa
 
Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.

Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za DGIS wa ofisi yetu nyeti, hazitaonekana kama ni early signs of incompetence on a part of the appointing authority?, au vetting is done right ila ma DGIS ndio wanaboronga wenyewe na kupelekea kuwa fired?.

Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, yaani ma DGIS 4 wanakuwa hired na fired ndani ya miaka 3!, its not normal, haijapata kutokea! what is it exactly or what could it be?.

Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?

Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.

Paskali

Cc. britanicca
Well said. Kuna vitu vinginene ni straight forward huhitaji PhD au masters degree kugundua kuna gap hapa. Hilo ni kosa la kiufundi na ni kosa kubwa sana linapofanyika hasa kwenye nafasi za juu za maamuzi kwenye idara nyeti za za kimkakati.

Wote tunajua kiongozi ndio dira, kiongozi anatengeneza dira ya muda mfupi na muda mrefu baada ya kufanya intensive analysis ya gaps na opportunities na kuset target. Kiongozi atashirikiana na watendaji kuipambanua dira na kutengeneza relevant strategies, approaches na interventions. Kiongozi atafuatilia utekelezaji wa vitu hivyo na kupima kama process inafanyika kama walivyokubaliana na matokeo yanapatikana kama walivyokuwa wamedhamilia na kama sio basi wanaretreat na kureplan again (program management is iterative)

Sasa huyu kiongozi kabla hata hajatengeneza dira, kabla hajaweza kufanya intense analysis ya gaps na opportunities, kama tayari ana dira bado hajakaa na wenzake kutranslate hiyo dira into strategies, approaches na interevention, hajaeka timu yake sawa unamuondoa, unategemea patakuwepo na progress hapo. Na huyo anayekuja anaondoka, yaani ni kama idara zinapiga match time, hakuna matokeo yeyote, kila anayekuja anakuja na tuvitu twake miezi michache anaondoka, watekelezaji wanabaki kenye dilemma (grossly twisted) hawajui wanaenda wapi na watafika kwa njia ipi na kwa kutumia nini?

Ifike mahali uchunguzi wa kutosha kuhusu uwezo wa hawa viongozi ufanyike kabla ya kuteuliwa ili waweze kuleta ufanisi kwa kutengeneza short term na long term strategic plans na namna ya kuziexcute kuleta ufanisi na matunda bora kuliko sasa
 
Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.

Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za DGIS wa ofisi yetu nyeti, hazitaonekana kama ni early signs of incompetence on a part of the appointing authority?, au vetting is done right ila ma DGIS ndio wanaboronga wenyewe na kupelekea kuwa fired?.

Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, yaani ma DGIS 4 wanakuwa hired na fired ndani ya miaka 3!, its not normal, haijapata kutokea! what is it exactly or what could it be?.

Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?

Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.

Paskali

Cc. britanicca
Mkuu P.

Hakuna maelewano ndani ya jumba jeupe hakuna kuaminiana, mdogo na mkubwa wanapeleka taarifa kwa mwenye kiti cha enzi zinazotofautiana
1. Baadhi wanapeleka 'raw information'
2. Wengine wana 'evaluate' taarifa kwanza ila hawa 'cite' chanzo kuthibitisha reliability, credibility na authoritative source yake to authenticate trust
3. Kuchongeana matumizi mabaya ya nafasi walizonazo za kunusa na maslahi binafsi
4. Weledi kiduchu na kuingiza ndugu na marafiki wa kifamilia na dini kwenye mfumo wa usalama bila bila kujua malengo yao-CD161.000 ndio inatumika kumharibia mtu asiyetakiwa. Mbinu ya CD157.000 imegota na kushindwa matokeo yake ndio hayo.
 
Kuna tatizo kwenye vetting. Mifano mizuri ni DC na RC wanaoshtakiwa kwa matukio ya kishoga. Vetting yetu ingekuwa imara kama ya enzi za Mwalimu Nyerere, hao jamaa wasingepata teuzi, wangegundulika mapema.
Zamani wateule kama RC na DC walikuwa ni watu waliokuwa kwenye civil service kwa miaka 15 au zaidi, hivyo ni watu ambao wana ujuzi wa kazi na mifumo ya serikali na pia wanafahamika mienendo yao kwa vile wamekuwemo kwenye utumishi wa umma muda mrefu. Siku hizi kuna huu upuuzi wa kuchukua makada vijana kutoka uvccm mtu akijua kuwatukana na kuwachamba wapinzani basi anaonekana bora analamba uteuzi, matokeo yake ndiyo wanajaza wasagaji na walawiti .
 
To me, i think incompetence on part of appointing authority; is a good answer. Na dawa pekee ya kuondokana na hili ombwe, ni kuirejesha tu ile Rasimu ya Katiba ya Jaji Warioba.
Hiyo nafasi hapo tiss hapaswi mtu kukaa miaka,atajenga himaya halafu pawe na ujinga ujinga baadae, Pakistan hiyo nafasi ni mwaka au mitatu,sikumbuki vizuri,na wamba hutoka jeshini
 
Zamani wateule kama RC na DC walikuwa ni watu waliokuwa kwenye civil service kwa miaka 15 au zaidi, hivyo ni watu ambao wana ujuzi wa kazi na mifumo ya serikali na pia wanafahamika mienendo yao kwa vile wamekuwemo kwenye utumishi wa umma muda mrefu. Siku hizi kuna huu upuuzi wa kuchukua makada vijana kutoka uvccm mtu akijua kuwatukana na kuwachamba wapinzani basi anaonekana bora analamba uteuzi, matokeo yake ndiyo wanajaza wasagaji na walawiti .
Ma RC na DC wa zamani walikua na kipi Cha maana zaidi ya kuwa na mentality za kifalme kwenye mipaka yao!?..hiyo zamani chama kilishika hatamu,sharti uwe mwana CCM kuhudumia umma,lazima uandae vijana kuwa viongozi,Tena kwa wingi,ili pasiwe na ombwe la vijana viongozi Kama ilivyokua 2000-2010
 
Ma RC na DC wa zamani walikua na kipi Cha maana zaidi ya kuwa na mentality za kifalme kwenye mipaka yao!?..hiyo zamani chama kilishika hatamu,sharti uwe mwana CCM kuhudumia umma,lazima uandae vijana kuwa viongozi,Tena kwa wingi,ili pasiwe na ombwe la vijana viongozi Kama ilivyokua 2000-2010
Vijana wenyewe ndiyo hao wafiraji na wasagaji.
 
Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.

Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za DGIS wa ofisi yetu nyeti, hazitaonekana kama ni early signs of incompetence on a part of the appointing authority?, au vetting is done right ila ma DGIS ndio wanaboronga wenyewe na kupelekea kuwa fired?.

Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, yaani ma DGIS 4 wanakuwa hired na fired ndani ya miaka 3!, its not normal, haijapata kutokea! what is it exactly or what could it be?.

Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?

Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.

Paskali

Cc. britanicca
Bado hamjasema...
 
Wanabodi,
Naomba kuuliza,
Of late, there has been a lot of hiring and firing kwe ile ofisi yetu nyeti!.

Could there be a problem with our vetting systems? . This hirings and firings za DGIS wa ofisi yetu nyeti, hazitaonekana kama ni early signs of incompetence on a part of the appointing authority?, au vetting is done right ila ma DGIS ndio wanaboronga wenyewe na kupelekea kuwa fired?.

Haijapata kutokea the changing guards ya type hii hapa nchini!, yaani ma DGIS 4 wanakuwa hired na fired ndani ya miaka 3!, its not normal, haijapata kutokea! what is it exactly or what could it be?.

Huko nyuma niliwahi kuandika na kushauri TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe! jee inawezekana haya yanayoendelea sasa ya panga pangua ndio safisha safisha?

Na ikitokea ni kweli kuna tatizo, naendelea kusisitiza tusimlaumu yeye kwa makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake, maana na yeye ni binadamu pia na sio malaika Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda hivyo tuendelee kumpa muda wa kutosha kabisa, na hata ikifika 2025 nyumba yetu ikawa bado haijakaa sawa, tumpe mitano tena ili akamilishe, anakwenda kutupatia katiba mpya.

Paskali

Cc. britanicca
Shida ni pick n choose
 
yes there is a sign of incompetence on the side of the appointing authority. Poor management skills that lead to poor decision making, operating out of standard operating procedures.

hili nadhani limesababishwa na kutochagua watu kutokana na capacity, usomi na taaluma husika, mfano kumekuwepo na wachaguliwa wengi ambao uteuzi wao unatokana tuu na uanachama wao wa ccm na endapo kama nafasi husika zingekuwa zinatangazwa na walio na vigezo wanaziomba basi tungepunguza kuteua watu wasiokidhi.

kivuli cha magufuli pia kinasababisha ile teua tengua iendelee na kuonekana kama ni kitu sahihi sana wakati sio sahihi. mtu inabidi ateuliwe aunde mikakati yake ya utendaji halafu atende sasa hapo kabla haja tenda mara kashatenguliwa. hayo yanatokea kwa nafasi zote mfano Jerry silaa kabla hajaweka mifumo yake ya utendaji utakuja kusikia kashaamishwa wizara ngoja achezee hati za cartels wa nchii hii kule kariakoo.

Inaonekana kwamba pia kuna usikilizwaji sana wa grapevine na maneno ya chinichini yaani kila likipelekwa halipimwi linaweza kumuondoa mtu kwenye nafasi. mfano mwarabu Ally anasema huyu kamishna wa TRA hafai basi bosi anaweza kuamka na kusema huyu anipishe bila utafiti wa kina.
 
Back
Top Bottom