MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #181
Mi nina mashaka kama atasikiliza ushauri wako.......labda umuunge mkono.....
Mwanajamii One inawezekana kabisa...hii ya dada kuzaa na mwingine na jamaa kuoa ni ajali tu ya kimapenzi but moyo ya kupenda wacha kabisa,hakuna kushauri hapa ni kukaa nje na kusoma mchezo utaona picha itakavyojibu yenyewe
Chauro hebu tenea mate chini maana kama huwa kuna kubbatani MUNGU alikibofya ili tusiwezeisoma mioyo ya wenzi wetu basi tuombe kisijefyatuka...................yaani ni kweli kabisa kuna wanaolala kitanda kimoja na wenzi wao, wanado na kudo lakini moyoni anajuta na kuombea afe ili awe huru! Jamani chauro hata sijui umewaza nini we binti..............I whish....................
Mmh Ikifikia hapo hatari
Ni kweli mpendwa ila ninachomaanisha hapa ni kuwa matendo pekee hayadhihirishi upendo au uaminifu...........bali yanakusaidia kukupa tulizo la moyo kwa kuamini kuwa unapendwa na mwenzio ni mwaminifu kwako but ukweli wa hayo unabaki kwa muhusika.
Wapo walioletewa maiti za wenzi wao waliofumaniwa au kufa wakiwa uzinzini na bado wakabisha wakisema hapana alikuwa mwaminifu sana kwangu................
Chauro hebu tenea mate chini maana kama huwa kuna kubbatani MUNGU alikibofya ili tusiwezeisoma mioyo ya wenzi wetu basi tuombe kisijefyatuka...................yaani ni kweli kabisa kuna wanaolala kitanda kimoja na wenzi wao, wanado na kudo lakini moyoni anajuta na kuombea afe ili awe huru! Jamani chauro hata sijui umewaza nini we binti..............I whish....................
Bora wakwetu umeliona nawe hilo.
Jamaa ni msanii, period.
Mbona mnakimbilia kumhukumu mwenzenu?
Huenda dada wa Mwanajamii ndiye mpenzi wake wa awali. Huenda mkaka kaitika kujaribu kuendelea na maisha yake baada ya kumkosa dada yetu, kakumbwa na mikasa na hivyo kuona dada ndiye chaguo sahihi tu.
Nionavyo miye, mdada hajaolewa ana mtoto tu, kwani huyo kaka kama ndoa yake ni chungu kinachomfanya ashindwe kuondoka ni nini? Dada hajaolewa kama nimempata Mwanajamii, sioni anaogopa nini kama naye moyo umeanza kurudi.
Hapa watu watasema ya kweli ya moyoni, ya kinafki, na mengine lakini mwisho wa siku moyo wa mtu utaamua.
Mbona mnakimbilia kumhukumu mwenzenu?
Huenda dada wa Mwanajamii ndiye mpenzi wake wa awali. Huenda mkaka kaitika kujaribu kuendelea na maisha yake baada ya kumkosa dada yetu, kakumbwa na mikasa na hivyo kuona dada ndiye chaguo sahihi tu.
Nionavyo miye, mdada hajaolewa ana mtoto tu, kwani huyo kaka kama ndoa yake ni chungu kinachomfanya ashindwe kuondoka ni nini? Dada hajaolewa kama nimempata Mwanajamii, sioni anaogopa nini kama naye moyo umeanza kurudi.
Hapa watu watasema ya kweli ya moyoni, ya kinafki, na mengine lakini mwisho wa siku moyo wa mtu utaamua.
It all depends on how one define marriage. If you can just walk in and out of it just like toilet then it is just easy to make divorce decision.
Mbona mnakimbilia kumhukumu mwenzenu?
Huenda dada wa Mwanajamii ndiye mpenzi wake wa awali. Huenda mkaka katika kujaribu kuendelea na maisha yake baada ya kumkosa dada yetu, kakumbwa na mikasa na hivyo kuona dada ndiye chaguo sahihi tu.
Nionavyo miye, mdada hajaolewa ana mtoto tu, kwani huyo kaka kama ndoa yake ni chungu kinachomfanya ashindwe kuondoka ni nini? Dada hajaolewa kama nimempata Mwanajamii, sioni anaogopa nini kama naye moyo umeanza kurudi.Kama kaka ataachana na mkewe basi wapate ruksa!
Hapa watu watasema ya kweli ya moyoni, ya kinafki, na mengine lakini mwisho wa siku moyo wa mtu utaamua.
Ndio maana kuna talaka 1,2,3.Isingekuwepo uwezekano wa talaka zote hizi.Ndoa ni kifungo kwa wengine lakini siyo kifungo kwa wengine.Na hata hao wanaosema ni kifungo mbona huachana? Tatzo la wengi ni unafki tu! Watu hawaachani kwa talaka lakini mioyo yao iko kwengine na hata wanaishi maisha kinyume na hizo imani zao.
Ndio maana kuna talaka 1,2,3.Isingekuwepo uwezekano wa talaka zote hizi.Ndoa ni kifungo kwa wengine lakini siyo kifungo kwa wengine.Na hata hao wanaosema ni kifungo mbona huachana? Tatzo la wengi ni unafki tu! Watu hawaachani kwa talaka lakini mioyo yao iko kwengine na hata wanaishi maisha kinyume na hizo imani zao.
si lazima kuwa ni true love-wapo wanaume wanaolia then baada ya game-wanafuta hadi namba-hayo machozi ni kwa sababu bado anatafuta admission-naamini akiipata-huyo dada yako atashangaaWapenzi wangu
Ni matumaini yangu kuwa wote mlikuwa na weekend jema na mmepumzika vya kutosha.
This weekend dadangu amejikuta akikumbwa na majaribu from one of her long time secret lover (sijui kama ni sahihi kumwita secret lover kwa kuwa alishawahilipasua jipu kwa sisy na sisy akajua ila circumstance haikuruhusu kwa wawili hao kuwa pamoja -Sisy alikuwa alizaa na mtu mwingine (hawakai pamoja na jamaa akaoa after seeing sisy kaamua kuzaa na mwingine). Huyu 'shemeji' yangu amekuwa "in love" na dada for more than 13 years... nimeiweka kwenye mabano kwa kuwa siweziithibitisha.......but he has been there despite knowing her relationships status.
This shem of mine ameoa..........but he keep saying that his heart iko kwa sisy!! Na kweli he has been there yaani anything happened to my sisy the guy is there (sometimes huwa namwonea sisy wivu!!). BUT mara zote dada amekuwa akiavoid kukutana na huyu mkaka faragha i.e. sehemu ambayo watakuwa peke yao tu.
Leo jioni dada aliamua kumsikiza (kwa kuwa amekuwa akimsihi kwa muda wote huo) ........mkaka wa watu si akajielezea hisia kwa kilio yaani dada amekuwa shocked hajawahi ona mwanaume anatoa machozi na kuongea kwa uchungu namna hiyo (even after all those years). Amechanganyikiwa na anahisi kama maamuzi yake yanawezakuwa influence.............kanitaka ushauri.
MwanajamiiOne mie nimebaki majicho yamentoka (na yalivyo makubwa basi natisha ka mjusi alobanwa na mlango)- Dada anaonekana kuanza kufall kwa huyu mkaka.....(mh hata sijui ni aje)
Ninaomba msaada wenu
Could this be true love from this man?? Mwanaume kulilia penzi na kulisotea kwa miaka yote hii does it have any meaning?
...ni mume wa mtu bana, amuache mkewe kwakuwa ana secret crush tu?
tutajuaje jamaa ndio gear zake za 'kulilia jackpot?'
Dada'ke Mwj1 anajitafutia heartbreak :A S 12: ku invest penzi lake hapa Unless,
kajiamulia kuwa 'nyumba' ndogo, aka part time lover kila huyo brazameni akiamua ku fulfil 'fantasies' zake..
Very true observation... na ipo hivyo kwa wote, mwanaume na mwanamkena siku mambo yakiwa murua nyumbani kwake anaweza kusahau kama ulishawahi kuwepo,mi simshauri aliamua kuoa akae huko na mkewe kama atakubali na gharama za nyumba ndogo azijue na awe tayari kuzibeba mwisho wa siku.:yawn:
MkuuHivi ulisoma vizuri alichoandika da MwanajamiiOne? Ni kwamba jamaa ni mume wa mtu. Ana ndoa hivyo mwenzio. So how can she give it a shot whilst he's still married to his wife? Are you saying she should have an affair with a married man?
Mkuu
wengi tu wana ndoa na wana give a shot and a few (very few) wanafanikiwa, tuache utopia tuongee ukweli, ni wangapi tunawafahamu wameolewa na ex-husbands wa watu??
Its not a closed system anymore, marriage is an open system depending on the players