MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
- #161
...haya sasa! hii nayo ndio nini?
hahaha Mbu yaani nakwambia sie wapendwaji na wapendaji ndo wenye matatizo afu tunasingizia mapenzi.............sasa kama huyu ndoo kafanya nini sasa? Loh inanifanya niamini ule usemi wa kitaani kuwa mwanaume mzuri ni yule aliye-occupied!! Eti wanawake wana tabia ya kupenda mwanaume ambaye tayari ana mwanamke than yule aliye single kabisa......sijui tunaona raha kucompete?! ah