Could this be it?....................

...Ninaomba msaada wenu
Could this be true love from this man?? Mwanaume kulilia penzi na kulisotea kwa miaka yote hii does it have any meaning?

...Mwj1, hakuna kitu kama hiyo. Jamaa kwa jinsi ulivyoelezea 13years alikuwa hajabahatika kuwa faragha na dada'ko, si ndio? Sasa leo kazawadiwa huo muda kinachomliza nini?

Mimi sipendi watu wanaojiliza liza ujinga bana. Ananikumbusha mrembo fulani alikuwa kila aki cheat, anaomba msamaha akilia, kujigaragaza chini na kujiapiza eti akiachwa atajiua! Usanii tu huo.

Anacho anachokililia, (Guilty Conscious) sio penzi...!
 
Wapenzi wangu
Ni matumaini yangu kuwa wote mlikuwa na weekend jema na mmepumzika vya kutosha.

Natumaini nawe wikendi yako ilikua murua!

This weekend dadangu amejikuta akikumbwa na majaribu from one of her long time secret lover (sijui kama ni sahihi kumwita secret lover
Hapana si sahihi. Jamaa hawezi kuwa "secret lover" if they've never been partners in a romantic or sexual relationship. Secret admirer? Maybe or maybe not because he already had told her about his feelings for her so it can't be a secret but it could be an open secret if there is such a thing. But I'd go with 'long-time admirer'.

So, this dude is a married man. Is he happily married?

Mkewe na huyo 'shem' wako yuko wapi? Anajua kuwa mumewe ana mawasiliano na dada yako? Au ndo yale mambo ya "oh she's just a friend"?

Ngoja kwanza. Dada yako aliuliza maswali yote ya msingi? Kama vile mkeo yuko wapi? Kwa nini unanipenda mimi kuliko mkeo? Huoni kama kunipenda mimi ni kumsaliti mkeo? Umeshamwambia mkeo kuwa unanipenda (na) mimi?

MwanajamiiOne mie nimebaki majicho yamentoka (na yalivyo makubwa basi natisha ka mjusi alobanwa na mlango)- Dada anaonekana kuanza kufall kwa huyu mkaka.....(mh hata sijui ni aje)
Mwambie dada atulie kwanza. Atumie akili zaidi kuliko hisia.

Ninaomba msaada wenu
Could this be true love from this man?? Mwanaume kulilia penzi na kulisotea kwa miaka yote hii does it have any meaning?
Ni vigumu kujua. Ila jambo linalonipa shaka ni ndoa ya huyo 'shem' wako. Mkewe yuko wapi? Na kama yupo haya anayoyafanya mumewe anayajua kweli? Mwambie dada yako amwulize jamaa kama bado anampenda mkewe.

Na dada yako naye ana mtazamo gani kuhusu "married men"? Dada yeye yuko single kikwelikweli au ana mtu wa mapoozeo pembeni? Pia anaijua JF? Manake kuna ma 'eligible bachelors' kibao hapa na kama vipi unaweza ukamwambia ajiandikishe naye awe mwanachama.......she doesn't have to mess with a married man when there is a gazillion of eligible bachelors on the prowl!!
 
Kama dada yako anampenda? au ukame? Yote mawili?

Unaweza kuta wameshashare intimacy anakuja kwako kutafuta justification. Mungu ndiye mjuzi, haya mambo ya mapenzi yanahitaji sala, utashi wa binadamu umefail kuyaongoza achia mbali kupredict.
 
<p>
hahahaha!</p>
<p>Wengine 2shatolewa machozi na makamasi.</p>
<p>Wizi mtupu.
</p>
<p>&nbsp;</p>
hehehe,yanaitwa machozi ya mamba,lol!
mj1,akimpa tuuu ndo uhusiano unaishia hapo hapo!huyo kaka tamaa tu za kunyimwa zinamsumbua.amuweke hapo hapo kwenye emotional supporter,teh teh
 
Alikuwa analilia nini ambacho hakuwahi kukipata for 13yrs? Damn!
He must be some new type of jerk!

big una miakili laki tisa.
Usanii mtupu. Kuna watu wengine machozi yapo karibu.
Mi mwenyewe nikielezea kitu chenye hisia kali lazima chozi linidondoke lenyewe bila kulazimisha.
 
Nina mashaka kama ni 'true love'. Inawezekana anataka kutimiza haja zake tu then aishie. Tell your sissy to be very careful.
 
Reactions: Mbu
Sijaelewa anachotaka ni nini? kufanya mapenzi na dada yako?kumuacha mkewe awe na dada yako kwa kuwa anampenda sana au anataka wape part time lovers.....? mwanaume kulia si lazima iwe kwa ajili ya mapenzi aliyonayo kwa dada yako.....pengine ana matatizo yake mengine yanamliza.....dada yako afanye homework yake kujua....personally simshauri kuwa na uhusiano na mume mtu ambaye hujui hata hatma yenu ni nini....its complicated....aendlee na maisha yake.....kama kampenda sana,kuna mengi yabidi kuyajua na kuhakikishiwa na huyo mwanaume,ila kuwa mwizi....haipendezi!
 

Nimeipenda hii Husninyo,
umeongea ukweli mtupu, on the other hand!!!!!!!
Mungu alitupa uwezo huo, tukililia hiyo kitu,
unaweza sema mwanaume si ndio huyu,
kumbe ni fisi alieona mfupa tu, akishamaliza utamu wake, anatambaa kilaini!
 



mambo vipi we binti, upo jamani?
hapo bana hakuna ujanja, huyo dada wala asijiulize mara mbili,
kwa mume wa mtu, aache kabisa kumkaribia huyo bwana,
NI MUME WA MTU HUYO!!!!!!!
 
Msanii tu huyo, hawa watu bwana akikutana na wewe ambae huwa anakuzimia muda mrefu akuone ndani ulivyo, anaangua kabisa mchozi walahi, ngoja amalize shida zake sasa, na hivi ulimzungusha muda mrefu, ndio utaona rangi zote.

Mwambie sis wako ashtuke mapema
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>
hehehe,yanaitwa machozi ya mamba,lol!
mj1,akimpa tuuu ndo uhusiano unaishia hapo hapo!huyo kaka tamaa tu za kunyimwa zinamsumbua.amuweke hapo hapo kwenye emotional supporter,teh teh


tatizo ni kwamba kuna akina dada wengine wanapenda,
kweli kuliliwa, yaani akiona chozi la mwanaume tu, kwisha habari yake!lol...
sasa wanawake wa dizaini hii hawana ujanja hapo!!!!ataingia tunduni tu!
 

kwani Maty kwa umri huu umeshakutana na wasanii wangapi jamani,
ina maana kila utakayempa penzi ni lazima mustakabali wa maisha yenu uwe umeshaeleweka,
kama ni hivyo basi isingetokea wanawake wakawa na msururu wa wapenzi waliokwishakuwa nao huko nyuma!!!
tatizo ni kwamba pia, utawanyima wangapi katika maisha haya?na utajuaje kuwa hili ni chozi la kisanii,
na hili ni la ukweli?
 
''.....auu ndo uniamiinii mamaaaaaa UNAONA KAMA UKINIIPA NITAKUCHEZEEA..''

gari, pesa sina ndo maana nakwitw mchumba.................................

upo wewe buraza?
 
''.....auu ndo uniamiinii mamaaaaaa UNAONA KAMA UKINIIPA NITAKUCHEZEEA..''


ha ha ha! ...umeona ee? kisha kilio cha kwi kwi kwa kwenda mbele!
Usanii wa kulilia peremende kwakuwa umeambiwa 'itakuozesha meno!'
 
Teamo umenifurahisha kweli asubuhi! huyo dada aachane na huo usanii kama anataka kuwa nyumba ndogo sawa lakini hamna lolote ataishia kwenye matatizo tu.


''.....auu ndo uniamiinii mamaaaaaa UNAONA KAMA UKINIIPA NITAKUCHEZEEA..''
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…