...Ninaomba msaada wenu
Could this be true love from this man?? Mwanaume kulilia penzi na kulisotea kwa miaka yote hii does it have any meaning?
Wapenzi wangu
Ni matumaini yangu kuwa wote mlikuwa na weekend jema na mmepumzika vya kutosha.
Hapana si sahihi. Jamaa hawezi kuwa "secret lover" if they've never been partners in a romantic or sexual relationship. Secret admirer? Maybe or maybe not because he already had told her about his feelings for her so it can't be a secret but it could be an open secret if there is such a thing. But I'd go with 'long-time admirer'.This weekend dadangu amejikuta akikumbwa na majaribu from one of her long time secret lover (sijui kama ni sahihi kumwita secret lover
So, this dude is a married man. Is he happily married?kwa kuwa alishawahilipasua jipu kwa sisy na sisy akajua ila circumstance haikuruhusu kwa wawili hao kuwa pamoja -Sisy alikuwa alizaa na mtu mwingine (hawakai pamoja na jamaa akaoa after seeing sisy kaamua kuzaa na mwingine). Huyu 'shemeji' yangu amekuwa "in love" na dada for more than 13 years... nimeiweka kwenye mabano kwa kuwa siweziithibitisha.......but he has been there despite knowing her relationships status.
Mkewe na huyo 'shem' wako yuko wapi? Anajua kuwa mumewe ana mawasiliano na dada yako? Au ndo yale mambo ya "oh she's just a friend"?This shem of mine ameoa..........but he keep saying that his heart iko kwa sisy!! Na kweli he has been there yaani anything happened to my sisy the guy is there (sometimes huwa namwonea sisy wivu!!). BUT mara zote dada amekuwa akiavoid kukutana na huyu mkaka faragha i.e. sehemu ambayo watakuwa peke yao tu.
Ngoja kwanza. Dada yako aliuliza maswali yote ya msingi? Kama vile mkeo yuko wapi? Kwa nini unanipenda mimi kuliko mkeo? Huoni kama kunipenda mimi ni kumsaliti mkeo? Umeshamwambia mkeo kuwa unanipenda (na) mimi?Leo jioni dada aliamua kumsikiza (kwa kuwa amekuwa akimsihi kwa muda wote huo) ........mkaka wa watu si akajielezea hisia kwa kilio yaani dada amekuwa shocked hajawahi ona mwanaume anatoa machozi na kuongea kwa uchungu namna hiyo (even after all those years). Amechanganyikiwa na anahisi kama maamuzi yake yanawezakuwa influence.............kanitaka ushauri.
Mwambie dada atulie kwanza. Atumie akili zaidi kuliko hisia.MwanajamiiOne mie nimebaki majicho yamentoka (na yalivyo makubwa basi natisha ka mjusi alobanwa na mlango)- Dada anaonekana kuanza kufall kwa huyu mkaka.....(mh hata sijui ni aje)
Ni vigumu kujua. Ila jambo linalonipa shaka ni ndoa ya huyo 'shem' wako. Mkewe yuko wapi? Na kama yupo haya anayoyafanya mumewe anayajua kweli? Mwambie dada yako amwulize jamaa kama bado anampenda mkewe.Ninaomba msaada wenu
Could this be true love from this man?? Mwanaume kulilia penzi na kulisotea kwa miaka yote hii does it have any meaning?
</p>kwani wanawake 2nazeeka?
</p>hahahaha!</p>
<p>Wengine 2shatolewa machozi na makamasi.</p>
<p>Wizi mtupu.
Alikuwa analilia nini ambacho hakuwahi kukipata for 13yrs? Damn!
He must be some new type of jerk!
MWANAMKE HAZEEKI,AKIZEEKA UMEMZEESHA MWENYEWE.
Mtu kuoa au kuolewa haiimaanishi kuwa hatopenda / hatopendwa na wengine.
Ni kwasababu za kiimani na kiutamaduni tunashindwa kufanya vile mioyo yetu inatamani.
Mtu kukufatilia muda mrefu isikupe uhakika kuwa ni kweli anakupenda. Mwanaume anaweza kuendelea kukusumbua wakati huo huo anachakachua sehemu nyingine. Mwanaume kulilia penzi isikustue. Hawa viumbe wapo tayari kuonekana mapoyoyo ilimradi apate anachokitaka.
Labda utuambie ni circumstances gani zilifanya sist wako asiwe na jamaa.
Sijaelewa anachotaka ni nini? kufanya mapenzi na dada yako?kumuacha mkewe awe na dada yako kwa kuwa anampenda sana au anataka wape part time lovers.....? mwanaume kulia si lazima iwe kwa ajili ya mapenzi aliyonayo kwa dada yako.....pengine ana matatizo yake mengine yanamliza.....dada yako afanye homework yake kujua....personally simshauri kuwa na uhusiano na mume mtu ambaye hujui hata hatma yenu ni nini....its complicated....aendlee na maisha yake.....kama kampenda sana,kuna mengi yabidi kuyajua na kuhakikishiwa na huyo mwanaume,ila kuwa mwizi....haipendezi!
<p></p>
<p> </p>
hehehe,yanaitwa machozi ya mamba,lol!
mj1,akimpa tuuu ndo uhusiano unaishia hapo hapo!huyo kaka tamaa tu za kunyimwa zinamsumbua.amuweke hapo hapo kwenye emotional supporter,teh teh
Msanii tu huyo, hawa watu bwana akikutana na wewe ambae huwa anakuzimia muda mrefu akuone ndani ulivyo, anaangua kabisa mchozi walahi, ngoja amalize shida zake sasa, na hivi ulimzungusha muda mrefu, ndio utaona rangi zote.
Mwambie sis wako ashtuke mapema
''.....auu ndo uniamiinii mamaaaaaa UNAONA KAMA UKINIIPA NITAKUCHEZEEA..''
nipo sana tu mkuugari, pesa sina ndo maana nakwitw mchumba.................................
upo wewe buraza?
''.....auu ndo uniamiinii mamaaaaaa UNAONA KAMA UKINIIPA NITAKUCHEZEEA..''
</p>nina juice yako ya box hapa.
''.....auu ndo uniamiinii mamaaaaaa UNAONA KAMA UKINIIPA NITAKUCHEZEEA..''