mmh no i dont buy this. sasa hudhani kama hiyo ni blackmail, why would you trade your dignity for that? mi namwambia asidanganyike!Mimi ninavyo fikiri huyo mwanamume anajua akisha zaa tu na huyo binti wazazi wake wataondoa vikwazo ili alee mwanae na kwa upande wa binti wamruhusu ili nae akalee mwanae pia.nimesha shuhudia matuo hayo marakadhaa wazazi wanasusa kwenda kwa watoto wao kisa nikutokubali kuoa au kuolewa na mtu fulani lakini pakipatikana mtoto au tatizo fulani wazazi huwa karibu kusaidia kuna kamsemo wansema "mzazi ha uwi".nawakilisha.
...Kwa vile tunapendana kupita kiasi, mwenzangu anataka nimzalie angalau mtoto mmoja kama kumbukumbu ya penzi letu.Mimi nina wasiwasi kwa vile najua fika hakuna uwezekano wa kuoana na huyu mkaka.Isitoshe sitataka kubeba jukumu la kulea peke yangu hata kama nitaingia gharama za kumlea mwanangu.Huyo mkaka anasisitiza kuwa atafurahi sana kama nitamzalia na atamkubali mtoto na kuwajibika ipasavyo.Hili kwa kweli linanipa tumaini lakini bado nina wasiwasi.
Naomba ushauri, Nimkubalie? Nitahakikishaje hatabadili mawazo mbele ya safari"
Sister L.
Mimi ninavyo fikiri huyo mwanamume anajua akisha zaa tu na huyo binti wazazi wake wataondoa vikwazo ili alee mwanae na kwa upande wa binti wamruhusu ili nae akalee mwanae pia.nimesha shuhudia matuo hayo marakadhaa wazazi wanasusa kwenda kwa watoto wao kisa nikutokubali kuoa au kuolewa na mtu fulani lakini pakipatikana mtoto au tatizo fulani wazazi huwa karibu kusaidia kuna kamsemo wansema "mzazi ha uwi".nawakilisha.
unajua kuna kitu used ambacho mtumiaji hakujulikana. Lakini hili la used na mtu rasmi! Lol! Tena unaweza kuta alikuwa used for more than ten years.
Hiyo red hiyo: Biblia inasema mwanamke mpumbavu ataivunja nyumba/ndoa yake mwenyewe.
VC kwani hao wapenzi wana umri gani? wazazi wao ni makabila na dini moja? hao wazazi wako ndani ya ndoa? Huyo aliyeachana na mwenza... Mwenza yuko wapi? Au tayari keshavuta?
Je wao unaweza kuwaweka kwenye kundi lipi la kijamii kimapato? wastani, maskini au poa?
Halafu ndio ntakupa mawazo yangu
lakini angependa kuolewa na mwanaume mwingine mf akimpata wa kumpenda kwa dhati? kama ndio basi acmzalie kabisa, kwanini umzalie mwanaume ambae tayari familia zimeingilia kati mambo, anaweza kuja badilika kutokana na shinikizo la ndugu zake na umeshajua kabisa hawakutaki, sasa kama hawakutaki na wewe umejua hilo kwanini umzalie? na wakimkana na mtoto na wakashinikiza na ndugu yao wacmtambue mtoto huo mzigo utaubeba mwenyewe....UCZAE NA HUYO MKAKA... hakuna mapenzi ya hivyo na kama huyo kaka angekuwa anakupenda kama unavyodhani angekuoa tu na kuielewesha familia yake kwamba wewe ndio chaguo la moyo wako lakini hajafanya hivyo.
MTM
NITAJITAHIDI kujibu kadri nifahamuvyo:
1.hao wapenzi wana umri gani? umri wa kati ILA SIJUI HASA si unajua tena huwezi kudodosa sana umri wa watu
2.wazazi wao ni makabila na dini moja? hapana makabila na dini tofauti
3.hao wazazi wako ndani ya ndoa? ndio
4.Huyo aliyeachana na mwenza... Mwenza yuko wapi? yupo yupo
5.Au tayari keshavuta? sijui kama keshavuta
6.Je wao unaweza kuwaweka kwenye kundi lipi la kijamii kimapato? wko poa sana uchache siyo ishu kabisa.
MTM ..haya maswali mbona mengi mno??
"Kwako Mpendwa baba/mama ushauri,
Pole kwa majukumu ya ujenzi wa taifa.Naomba ushauri kuhusu haya yafuatayo.Niko katika uhusiano imara kwa muda sasa.Sote hatujapanga kuoana ila tunapendana sana.Sijataka kuolewa kwa vile kuna kikwazo .Ndugu wa pande zote wamekataa katakata kuturuhusu kuoana.Sisi tumeona haina haja kubisha wala kuharibu mahusiano ya kifamilia kwa vile ndoa siyo ya mtu mmoja bali ya familia zote mbili.
Kwa vile tunapendana kupita kiasi, mwenzangu anataka nimzalie angalau mtoto mmoja kama kumbukumbu ya penzi letu.Mimi nina wasiwasi kwa vile najua fika hakuna uwezekano wa kuoana na huyu mkaka.Isitoshe sitataka kubeba jukumu la kulea peke yangu hata kama nitaingia gharama za kumlea mwanangu.Huyo mkaka anasisitiza kuwa atafurahi sana kama nitamzalia na atamkubali mtoto na kuwajibika ipasavyo.Hili kwa kweli linanipa tumaini lakini bado nina wasiwasi.
Naomba ushauri, Nimkubalie? Nitahakikishaje hatabadili mawazo mbele ya safari"
Sister L.
Jamani wale magwiji wa counselling Mbu, Nyamayao, MTM, BAK, MJ1, Za10, Agika, Msindima, FL, Shangazi, Pretty, na wengineo.....hebu msaidieni huyu mwana dada.
Jamani hivi wewe dada umesahau kuwa kuzaa bila ya kuelewa au nje ya ndoa ni haramu, sio vizuri kabisa ndio maana watu wengi hawapendi kuzaa nje ya ndoa kwa kuwa huyo mtoto hatakua na mapenzi ya pande zote mbili. Hebu muonee hururma huyo mtoto maana inawezekana akaenda kuishi na mama wa kambo ambaye ataolewa na huyo uliyezaa nae, je unafikiri atapewa matunzo bora kama vile wewe unavyotaka? Angali watoto wa nje ya ndoa wengi ndio hao ambao wanaomba omba huko mabara barani, hwana uhakika wa maisha na mara nyingi wamekua wakitengwa na kutopata mahitaji yao muhimu kama elimu, afya, mavazi, chakula nk. Na pia ndio chanzo tena cha yeye kuwa jambazi, malaya, watumiaji wa mihadarati, walevi n.k.
Habu tunafikiri hata dini zinavyosisitiza tuzae ndai ya ndoa walikosea? Jamani waliona mbali, chako utakipenda tofauti na cha mwenzio. Kumbuka sisi binadamu tumeumbwa kwa kuwa na ubinfsi, hii ni nature yetu (selfish) ndio maana mtu atakipenda kitu chake kuliko cha mwenzie. Kwa hiyo usijidanganye kama huyo mke wa jamaa atakuja mpenda huyo mwanao, kwanza ndioa atamchukia kwa sababu atajua akifa jamaa naye atarithi mali na pia hatapata matunzo bora na elimu nzuri
Tafakari na Chukua hatua. make sure that you make good decision ili usiumie hapo baadae na kumbuka pia majuto ni mjukuu
Katika moja ya vitu hapa duniani vinavyotupa raha sana wanadamu hapa duniani ni kupendwa na kupenda. Ukijua unapendwa kwa dhati na yule unayempenda kupita kiasi basi siku zote huwa na raha kubwa ndani ya roho.
Hivyo basi mimi naona wazibe tu masikio yao ili wakamilishe mapenzi yao ya dhati kwa kuamua kufunga ndoa. Katika ndoa yao Mwenyezi Mungu atawajalia watoto labda zaidi ya mmoja kama anavyotaka njemba kama umri wa dada unaruhusu hilo.
Kuna raha kubwa ya kupendwa kwa dhati na yule umpendaye kwa moyo wako wote.
[URL="http://www.youtube.com/watch?v=aUb_3Ynz_tk"]http://www.youtube.com/watch?v=aUb_3Ynz_tk[/URL]
Mkuu,Dada hebu eleza sababu ni nini hasa. Inawezekana wana sababu ya msingi au hawana sababu ya msingi. Eleza kwanza, sababu ni nini... Tutatoa ushauri..
Vera huyu binti anaweza kunisubili 2012?
Nitamfikishia ujumbe... ila ataniluliza 2012 kulikoni? Nimpe jibu gani?
Au ndio mpango wako wa miaka 3 ( 2009-2012) katika mapenzi utakuwa umefikia tamati na hivyo utakuwa una mpango mpya?