Mwamba ndio umefura kiasi hicho utadhani umechapiwa tunda lako au ndio wewe ni harmonize mwenyeweYaani hiki kimtoa mada kinatafutaga mambo negative basi ya watu..
Hii ndio dhana ya uchawi
Dogo lile la sinza Hziyech22 litakuwa limewakoti wote hapa tayari