Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Rapper Country Boy ameahidi kuwa mwakani atafanya
mambo makubwa ikiwemo kuleta tuzo ya kimataifa.
Ametoa ahadi hiyo wakati akizungumza na mtangazaji wa
Kings FM, Prince Ramalove. “Inshallah tuombe Mungu na
ntakuja kuwaprove kwa hii ngoma ambayo inakuja, ntakuja
kuiachia,” amesema.
“Ni ngoma ambayo kubwa sana, ni ngoma ambayo inaweza
ikapenetrate Afrika nzima, Nigeria, South Africa, Angola,
Senegal, Marekani tutafika kote huko,” ameongeza.
mambo makubwa ikiwemo kuleta tuzo ya kimataifa.
Ametoa ahadi hiyo wakati akizungumza na mtangazaji wa
Kings FM, Prince Ramalove. “Inshallah tuombe Mungu na
ntakuja kuwaprove kwa hii ngoma ambayo inakuja, ntakuja
kuiachia,” amesema.
“Ni ngoma ambayo kubwa sana, ni ngoma ambayo inaweza
ikapenetrate Afrika nzima, Nigeria, South Africa, Angola,
Senegal, Marekani tutafika kote huko,” ameongeza.