Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!


Mic u lot Erickb52
 
Last edited by a moderator:
matokeo yamechakachuliwa
1.haiwezekani Erickb52awe mshiriki na hapohapo mratibu
2.mratibu kacheza faulo kunipora Kipipi wangu katika mazingira tatanishi kwani alishapigwa chini ila ametumia cheo cha uratibu kujimilikisha kwa nguvu

kutokana na maelezo hayo hapo juu tunatangaza kupinga matokeo na tunaomba uchaguzi urudiwe na mratibu awe Bishanga .

Azimio la kurudiwa kwa uchaguzi lisipotekelewzwa tutafanya maandamano JF ambayo yataanzia chit chat kuelekea barabara ya MMU tutaweka kambi ndogo pale halafu tutaendelea na kuishia love connect tutakapofanya mkutano mkubwa wa hadhara
 
mdogo wangu Kipipi mbona hujatuambia tuna shem mpya?
mwenzangu snowhite una habari hii?
 
Last edited by a moderator:

Kwa kuongezea...nitaomba shindano lipelekwe mbele na washindani watangazwe, afu kampeni iwepo walau kwa saa chache..
na siku ya kampeni itangazwe!
cc,
Bishanga
 
Last edited by a moderator:
Bora ungeomba kwanza ushauri..
Huyo dada huyo, aaah!

nimepata tabu sana kumpata wa kwenda nae porini,si unajua shughuli zetu za porini?watoto wote wanataka kushinda mjini tu, sasa huyu kasema anayaweza mishemishe za porin halaf we unaniambia nisubiri ushauri kwanza?
 
nishakaribia shem nasikia mna tabia nzuri sana kwenu,ndio mana nimekuja na mm kuchomeka mikuki
yaani wewe kazana tu kuimbisha, nakuambia hutajutia walaaaaaaa......
ngoja nisijifagilie sana, wewe jitahidi tu utajionea mwenyewe
 
nishakaribia shem nasikia mna tabia nzuri sana kwenu,ndio mana nimekuja na mm kuchomeka mikuki

Mkuu naona elimu ya Anthropolojia uliruka baadhi ya vipengele..eti mwenye tabia nzuri nan? huyu huyu Kipipi au? ama kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza...consult Erickb52 for more clarification..
 
Last edited by a moderator:
nimepata tabu sana kumpata wa kwenda nae porini,si unajua shughuli zetu za porini?watoto wote wanataka kushinda mjini tu, sasa huyu kasema anayaweza mishemishe za porin halaf we unaniambia nisubiri ushauri kwanza?

Bora hata uendelee kukaa na Nyani kwanza...ukijiridhisha na huyu binadamu ndiyo umchukue! usiharakie sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…