Passion Lady
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 8,694
- 4,643
sikubaliani na ushindi huu hewa! ni vigezo gani vimetumika? Erickb52 ana interest kwenye hili hivyo hana sifa ya kuwa mratibu,pia ni wazi shindano halina masharti na vigezo vya kupata mshindi! mchakato huu ni batili pamoja na ushindi! mimi na my Passion Lady tunapinga mchakato huu batili na ushindi batili
Hivi Nicas Mtei anajua kufanya matusi?
Siamini km mtoto ni wake maana namjua ni mstaarabu hanaga mambo ya giza labda km ulimbaka
Angekuwa kanimimina tusingeshinda hili shindano
Pls endelea tu mbele me siwezi kuamua kuja kwako...bado nampenda Erickb52
Ule msiba wa yule dada uliniunaje Nicas Mtei lol
Halafu naona unataka kunichonganisha na Chocs wangu
Ntawezaje kujizuzia..lol!:-*
Mmeshnda? Hahahaha
nishashtuka tayar
mwananthropolojia nilikuambia kuwa Kipipi ni headache achana nae na pia sijamuacha mbona huelewi?
Au dada zake FP na snowhite ndio wanakupa kichwa?
Hahahahaha kwani Vin Diesel ndie anajua eeh!!! Ukome kumchafulia cv mzazi mwenzangu eboooo
Hahahahaha kwani Vin Diesel ndie anajua eeh!!! Ukome kumchafulia cv mzazi mwenzangu eboooo