Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

sikubaliani na ushindi huu hewa! ni vigezo gani vimetumika? Erickb52 ana interest kwenye hili hivyo hana sifa ya kuwa mratibu,pia ni wazi shindano halina masharti na vigezo vya kupata mshindi! mchakato huu ni batili pamoja na ushindi! mimi na my Passion Lady tunapinga mchakato huu batili na ushindi batili

honey umeona eee!!yani full furugu shindano na mratibu wake,sijui muandaaji nae ni mafujo au vp! ila usijali sie ni washindi kila siku swr!!
 
ivo ndo umeanza kunisalandia eti?

avatar78607_1.gif

Ntawezaje kujizuzia..lol!:-*
 
Pls endelea tu mbele me siwezi kuamua kuja kwako...bado nampenda Erickb52

ishakula kwako!
pamoja na ushawishi mkubwa niliokufanyia...
pamoja na manyanyaso makubwa ya maneno na vitendo toka kwa Erickb52, anatangaza kuwa wewe ni nyumba ndogo, bado umeng'ang'ania! what type of woman a u? mbona unawa aibisha wanawake wenzako kwa kukubali harasiment ya wazi kabisa?
Shauri yako, ikifikia wakati wa wewe kunihitajitaji! Nadhani mimi nitakuwa sikuhitaji...
Ila nimeamini Wanyiramba wagumu sana, na ndivyo mlivyo....
 
Last edited by a moderator:
mwananthropolojia nilikuambia kuwa Kipipi ni headache achana nae na pia sijamuacha mbona huelewi?
Au dada zake FP na snowhite ndio wanakupa kichwa?

mimi naiaminia hiyo familia hawana tabia za kugonganisha magari kwan wana tabia njema, halaf wanaheshimu maamuzi ya familia so ukikubalika kwa family umemaliza gemu
saiz mi na Kipipi tupo kwenye mapenz ya sanjaydat na amir kapur, we ushakanyagwa na kiatu
 
Back
Top Bottom