Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Makubwa, kumbe wanyiramba ndo wanapenda vya kushare...
Una uhakika kua nnshare?
Hapana sijaguess nimeangalia unavyong'ang'ania kwa uzito sana! mwanamke gani unayependa kushare?
 
Natangaza natafuta mke awe wangu mwenyewe nami niwe wakwake mwenyewe kama smolu hauz zangu ataziafiki yeye.

Mambo mengine yamenichosha!
 
Makubwa, kumbe wanyiramba ndo wanapenda vya kushare...
Una uhakika kua nnshare?

Kwani huyo amyner, kipipi na remmy hamshei kwa huyu bwana mdogo Erickb52..
dawa uliyomezeshwa Chocs ni kali sana! huelewi hata kidogo
 
Last edited by a moderator:
Pole yako...wanyiramba wakija utakoma...Ha ha ha ha ha ha ha ha ha.....endelea kuguess hivyo hivyo mwisho utasema wamasai afu wakuchome mkuki buree!

Tena mkuki kwenye wowowo
 
Hivi Nicas Mtei anajua kufanya matusi?
Siamini km mtoto ni wake maana namjua ni mstaarabu hanaga mambo ya giza labda km ulimbaka

umejuaje...
Kaka wachokonoa ya watu ngoja yakuchafue..
 
Last edited by a moderator:
halafu kumbe uliniacha bila kuniambia ukaenda kwa Mentor !
we Ladyfuraha ww!
 
Last edited by a moderator:
siyo nyie bana.......
wewe si tulishakubaliana unakuwa mdogo wangu? TANMO akipatikana nitamshauri we mwanangu
yupo teja humu humu anafwatilia tu.
ndugu zangu wote wanakusalimu pia

Hujambo My Sweet, My Potato, My Sugarcane, My Life, My Water, My Kila kitu?
Hivi hapo kwenye Bold ulitaka kusemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…