Kwangu sumu haichomokiki
Huyu kipotabo changu ndio kimezamaaaaaa
wahenga walisema, "Happy is he who never loses his child's heart" so sidhan kama nakosea.
Ila honestly, hufurahi sana nikiona comment yako..popote!!! yani moyo hufarijika kujua uko salama...:A S-heart-2:
unasubiri nini kufanya maamuzi sasa?, unangoja nini kuchukua hatua
iliyonyooka?acha kuogopa weka nia mbele na thubutu sasa ...........
Anakurubuni tu ladyfurahia achana nae kwanza usipokuwa makini na Excellent nae atakutema kwa kutokuwa na misimamo. Au umelishwa mizizi kwa Mentor ?
Mi nilikuambia njoo kwangu namimi niunde SACCOS km ya Madame B naona unasuasua tu km hujisomi vile
leta barua ya maombi
Huu ujumbe unamfaa sana Bishanga na mkewe The secretary
Kichanga hajambo?<br />By Erickb52<br />
Huu ujumbe unamfaa sana <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=11167" target="_blank">Bishanga</a></b> na mkewe <b><a href="https://www.jamiiforums.com/member.php?u=82379" target="_blank">The secretary</a></b>
<br />
umeshtukiwa katafute jukwaa la utambulisho
Kichanga hajambo?