Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

hongereni washindi..waloshindwa kazeni buti...ila,je,washiriki wote wana imani na mwenyekiti wa uchaguzi alojiteua kua mshindi?

mimisa wala usikonde huyu Erickb52 mtu wa chapaa kazi ya uratibu tutamnyang'anya muda si mrefu,ngoja nimwite gwiji wa kura za maoni.. Spiderman njoo haraka ubaazi huu.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
sema ''mshindi keshajitangaza tayari''
Hahahahaaaa tena ndio tuko njiani tunaenda zetu kulala na Amyner wangu lol
Rahaaaaa utamuuuu
Ded Naikia Utamu-by Dully Sykes
 
Last edited by a moderator:
nataka useme uliyeleta hoja hapa,
na kama husemi niitie Mr Rocky
aseme mwenyewe.
Sasa wewe naona unataka kuniharibia raha yangu!
Hebu ngoja tukitoka hotelini kwenye zawadi yetu ndio ulete malalamiko yako na Mr Rocky mi niko najiandaa kuunganisha vifanyio vyetu na ma wife hahahaaaaa:smile-big:
 
Last edited by a moderator:
kwenye iyo no.19 naona umeamua kumchokoza KakaKiiza na mwandani wake..maana mimi hata simfahamu
 
Last edited by a moderator:
Hivi wako ni nani ? TANMO ? Mimi ?
Halafu nifikishie salamu zangu kwa dada yako snowhite na kaka yenu moto2012 plus mdogo wenu Kipipi
siyo nyie bana.......
wewe si tulishakubaliana unakuwa mdogo wangu? TANMO akipatikana nitamshauri we mwanangu
yupo teja humu humu anafwatilia tu.
ndugu zangu wote wanakusalimu pia
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…