Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Couple Bora ya Chit-Chat hii hapa!

Nashukuru sana kwa kunisamehe best na vilevile kutambua kosa langu nililokufanyia acha niachie kiss la upendo kwako mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nakupenda pia gnite
aaaaah usishawishike kihivo mpenzi si unajua nakupenda sanaaaaaa!
 
kwani hujui kuwa 'Mbuzi kafia kwa mwuza supu.' acha kufuatilia mambo ya ndoa za watu yatakushinda wewe kiherere tu SHINDWA KABISA
nina wasiwas kukimbiwa kote uko bado umemrudia...
Kuna kitu...
 
Nashukuru sana kwa kunisamehe best na vilevile kutambua kosa langu nililokufanyia acha niachie kiss la upendo kwako mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nakupenda pia gnite

Lol kweli we mjanja
Umeona kwa Mentor hapasomeki umehamia zako Airtel ( Excellent )
 
Last edited by a moderator:
Eti bro, ni nani kati ya my wives unamtaka maana naona kutwa kuchwa huachi kunisimanga. Sema ka vipi nkuachie wote maana nina mpango wa kuwaacha wote niende zangu kwa Kipipi mie...

Hahahahaaaa namtaka Mrembo by Nature coz ladyfurahia ni dada yangu so siwezi fanya nae matusi labda mtunyweshe damu ya kondoo pia catherine ni dada wa hiari.
Achana na Kipipi huyo password ninayo mimi ndio maana hata mwananthropolojia kagonga mwamba.
Anyway jaribu kwa Kongosho au Mamndenyi ukalelewe
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom