Na nkimtaja jina najua tu tutagombana.Ugomvi huoπ€£π€£π€£π€
ππππ YalaaaahMtu mzuri kweli yule aisee
π€£π€£π€£ππππ Yalaaaah
Yap lara1 sijui ameishia wapi huyu kiumbe,she was my friend,Lara shost if you will read this please pm ,me your number,long time no see my dearπWapi Paloma enzi zile JF ni JF.
Wapi Lara1
This was the best
Bora umuteπNa nkimtaja jina najua tu tutagombana.
πππ
Mtaje bwana kwa code kwani yupo siku hizi mimi najua kaleft Jf baada ya picha zake kuvujaNa nkimtaja jina najua tu tutagombana.
πππ
Nmefunga sitak ugomvi.ππBora umuteπ
Anapondea sana singlemom π ....urafiki ukafaπKwani ana ubaya gani kipenzi
ππππMhhhh me nasemea yule waloenda wote kule mkoa.Mtaje bwana kwa code kwani yupo siku hizi mimi najua kaleft Jf baada ya picha zake kuvuja
[emoji16][emoji16][emoji16] basi tulia hivyohivyoThubutuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mie naikumbuka ila acha nitulize mshono nipambane nashida zangu![emoji23][emoji23]
π€£π€£Ila love bhanaππππMhhhh me nasemea yule waloenda wote kule mkoa.
Au ndo yule yule unamsema ww mana anapenda sana kupaka rangi kweny kuchaππππ.
Dah bora wewe unanijua vizuri. Hawa wananisingizia tuu.Kaka yangu mzabzab sio kitombile kwanza kaokokaπ¬
π€£π€£ Jaman!Dah bora wewe unanijua vizuri. Hawa wananisingizia tuu.
πππ Wanaume wenyewe hawa timu kataa ndoa.Mi mapenz humu yamenishinda