Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cc mahandowTunapoongelea maswala ya mahusiano, haijalishi tunaonana au hatuonani, lakini tunafahamiana.
Zama zile za kukutana Kebby's na Leo Tupo Hapa, zilitufanya tuwe kama ndugu huku kukiwa na Arusha Wing na Dar Wing.
Arusha Wing walitia fora kwani waliweza kuwakaribisha Dar Wing mkoani Arusha mara kadhaa huku wakiwaweka kwenye hoteli nzuri, vyakula bora, vinywaji na mbususu pia wana Dar es Salame walihudumiwa.
Kipindi kile kulikuwa na mahusiano yaliyobamba sana. Wengine walienda mbali zaidi hadi wakafunga pingu za maisha.
@ Mwita Maranya na mwaJ, walibamba sana. Hii ilikuwa bonge ya couple.
Kipaji Halisi na Madame B, huyu jamaa alikuwa anapenda sana mpira, umbo lake dogodogo tu, lakini ana push bonge la jimama. Madame B ni mzigo wa kwenda sio kitoto. Mbwata imekaa kwa kutulia, unaweza kuweka laptop yako ukaendelea na kazi zako asipojitingisha.
cacico na Kiranja Mkuu, huyu dada alipotelea wapi sijui, lakini mara ya mwisho nilikutana naye Karen Blixen Nairobi, aisee alikuwa ni mzuri ile mbaya.
suzy na Sumbalawinyo, huyu jamaa alikuwa mtata sana akitokea Sumbawanga, akajijuta amebeba bonge la toto.
Hizi couple za Sky Eclat na Asprin , Nyani Ngabu na Miss Natafuta, mzabzab na To yeye ni mpya sana aisee.
Mnakulana na hatupeani info🤣🤣🤣🤣🤣Umesema?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengine Sasa hivi wako wanakula mbaazi tu Kila siku mpaka mwisho wa uhai wao
Smart ameachwa,siku hizi yuko single chali kabisa,anajiliwaza uzi wa rickboy kula tunda kimasihara
Aliitwa PalomaKulikuwa na pisi ingine sijui ilikuwa inaitwa Paroma kama sikosei.. na mwamba mmoja alikuwa anaitwa Vinidiesel
Leo nimeamini kumbe ndoa tam aiseeeee.... maana sio kwa povu hili...🤣🤣Nyani ngabu ni mtu wangu??.hebu futa hapo me nimeolewa kabisa huku mkuu usiniletee shida ndoa yangu bado watoto wachanga.shindwa pepo.hebu futa hapo kabla mwenyewe hajaingia humu
Ulitisha sana mkuu.Ila nimekumbuka mambo mengi sana aiseeee.....
Sinto sahau kwenye hekaheka za mbususu nilivyo sutwa wa wadada kama 10 hivi kwa pamoja hapa ndani...[emoji19]
Watu ambao hatujawai kua na kapo hapa tunaumia tu..🙄
Ebu kausha mkuu, hilo kaburi usilifukue lina kina kirefu sana...Ulitisha sana mkuu.
Mpaka mitaa ya kwa Obama nilikusikia [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Mahandow😀Smart 911 na Mahindaw?
Ewaaa nilimtamanigi 🙂🙂 nilimuona kwa mala ya kwanza ile white part pale kebs 😅😅😅 kuna jamaa alikuwa anajiweka karibu nae alikuwa blackberry bold naona kama alikuwa mkali wa hizo kazi kipindi kile 😅😅😅Aliitwa Paloma