Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Nigawie mimi kama nafasi kwako zimejaa, mimi nimebakiza nafasu moja tu...๐Umenishinda wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nigawie mimi kama nafasi kwako zimejaa, mimi nimebakiza nafasu moja tu...๐Umenishinda wewe
Naomba nisiseme neno mkuu, tuishie tu kwamba zamani Jf ilikua raha sanaaaa...๐Ewaaa nilimtamanigi ๐๐ nilimuona kwa mala ya kwanza ile white part pale kebs ๐ ๐ ๐ kuna jamaa alikuwa anajiweka karibu nae alikuwa blackberry bold naona kama alikuwa mkali wa hizo kazi kipindi kile ๐ ๐ ๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃUmesema?
Hahaha..Nyani ngabu ni mtu wangu??.hebu futa hapo me nimeolewa kabisa huku mkuu usiniletee shida ndoa yangu bado watoto wachanga.shindwa pepo.hebu futa hapo kabla mwenyewe hajaingia humu
๐ ๐ ๐ au ndio weyee. mwenye blackberry bold ... kitambo ilikuwa tamuu sanaa.. nikielezea visa watu wasije unga dots njkajifichua na mie ๐คฃ๐คฃ๐คฃ kuna mtu alikuwa anaitwa Horomarosha na Mentor .. haka kahoro kalinichomesha mahala nilivyojua daaah ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNaomba nisiseme neno mkuu, tuishie tu kwamba zamani Jf ilikua raha sanaaaa...๐
Imeisha hiyo....๐๐๐ ๐ ๐ au ndio weyee. mwenye blackberry bold ... kitambo ilikuwa tamuu sanaa.. nikielezea visa watu wasije unga dots njkajifichua na mie ๐คฃ๐คฃ๐คฃ kuna mtu alikuwa anaitwa Horomarosha na Mentor .. haka kahoro kalinichomesha mahala nilivyojua daaah ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ameachwa au wameachana? Mtu wa pembeni unaweza vipi kujua kuwa fulani ndiye aliyemuacha fulani katika mahusiano yasiyokuhusu?Smart ameachwa,siku hizi yuko single chali kabisa,anajiliwaza uzi wa rickboy kula tunda kimasihara
Utakuwa mmoja wa waliozitafuna sana mkuu, huwa nikikukumbuka nacheka tu๐๐Naomba nisiseme neno mkuu, tuishie tu kwamba zamani Jf ilikua raha sanaaaa...๐
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tulia basiAmeachwa au wameachana? Mtu wa pembeni unaweza vipi kujua kuwa fulani ndiye aliyemuacha fulani katika mahusiano yasiyokuhusu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, mimi hua nasingiziwa sana...๐Utakuwa mmoja wa waliozitafuna sana mkuu, huwa nikikukumbuka nacheka tu๐๐
Ya kipindi ilikuwa ina bambaa sana, sasa hivi sarakasi mingiii sanaaa na kipindi hicho kuna katoto amu ndio kalikuwa kame maliza maliza IFM ๐ ๐ ๐Imeisha hiyo....๐๐
Enzi hizo ndio passo zimeingia bongo....๐๐
Kuna kila dalili ya thread kwenda viral ๐Niko hapa kushuhudia vayolensi kwenye comments!
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Mungu amtunze sana yule binti mrembo aiseeeee....Ya kipindi ilikuwa ina bambaa sana, sasa hivi sarakasi mingiii sanaaa na kipindi hicho kuna katoto amu ndio kalikuwa kame maliza maliza IFM ๐ ๐ ๐