National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Yani ilibidi nitoke porini kupata mbuziNimemwandikia Mello. Hutakaa ubadili ID tena. Ukiweza kubadili tena nitafute nikupeleke out tukale kitimoto [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Hujui JF wewe
Wewe ndio nyani ngabu au???[emoji28][emoji28][emoji28] jf ina uraibu sana, nilisimama kutumia Jf toka 2014 hadi kwenye 2018.. nikahisi nimetoka mazima nikajikuta narudi.. JF ni sehemu nzuri sana ya kupata taarifa mbali mbali lakini ambao mda mwingi tupo peke yetu ni sehemu nzuri ya kupiga story na kutua stress. Binafsi nimeanza tumia Jf 2007. Na ID ipo active ila siitumii
Kuna ile couple ya Bishanga na Secretary π€£π€£π€£Ushindani wa Dar na Arusha ulianza kitambo sana....kuliwakuwaga na JF wings za Dar na Arusha.
Arusha walikuwa na vibes sana halafu mabilionea wote hahahahah
Mrembo kumbe unahudumia ndoa ndomana umepoteaNyani ngabu ni mtu wangu??.hebu futa hapo me nimeolewa kabisa huku mkuu usiniletee shida ndoa yangu bado watoto wachanga.shindwa pepo.hebu futa hapo kabla mwenyewe hajaingia humu
Haya maneno yalikuwa hayatamkiki JF enzi hizo National AnthemNimuonee wivu fukara nitakuwa na akili kweli?
Mwana Kagera mmojaπ€£Fukara yuko wapi π π
Hapana mzee sio mimi kabisaa huyoWewe ndio nyani ngabu au???
Wazee wenye jf Yao.
Uligonganisha magari?Ila nimekumbuka mambo mengi sana aiseeee.....
Sinto sahau kwenye hekaheka za mbususu nilivyo sutwa wa wadada kama 10 hivi kwa pamoja hapa ndani...[emoji19]
Utafiti wa makamu wa rais umetupa menoπHaya maneno yalikuwa hayatamkiki JF enzi hizo National Anthem
Jf tulikuwa tuna heshimiana sana na tulikuwa waungwana sana kipindi kile.. sometime jioni tunakutana mahala ilikuwa fresh sana natamani miaka irudi nyumaHaya maneno yalikuwa hayatamkiki JF enzi hizo National Anthem
π π π unataka ndizi tani ngapi , nasikia mna njaaa hukooMwana Kagera mmojaπ€£
Ilikuwa ni km unawaambia JF members ni jinsi gani ulikuwa na upeo mdogo.......kila mtu analinda heshima yake hahahahahaha. Sehemu pekee ya kutamka haya ni kwenye ugomvi wa Chit ChatUtafiti wa makamu wa rais umetupa menoπ
Wewe ni mmoja wao kwa huu mwandiko πππIlikuwa ni km unawaambia JF members ni jinsi gani ulikuwa na upeo mdogo.......kila mtu analinda heshima yake hahahahahaha. Sehemu pekee ya kutamka haya ni kwenye ugomvi wa Chit Chat
CC: National Anthem
Nime mkumbuka mdada mmoja alikuwa anaitwa Ynah π π alikuwa mpolee.. wakongwe ikatokea wakarudi wote paaap patanoga sanaaIlikuwa ni km unawaambia JF members ni jinsi gani ulikuwa na upeo mdogo.......kila mtu analinda heshima yake hahahahahaha. Sehemu pekee ya kutamka haya ni kwenye ugomvi wa Chit Chat
CC: National Anthem
Hivi @Klolokwini yukwapi?Namkumbuka sana huyu mama.. mala ya mwisho nilikutanana nae mlimani city miaka imepita sasa
Hahaha ni wewe mkuu. Huu mwandiko wakwako kabisaaa.Hapana mzee sio mimi kabisaa huyo
Ynah mdogo wangu jamani sijui yuko wapi. We Ynah wewe kama unanisoma hebu like hapa!Nime mkumbuka mdada mmoja alikuwa anaitwa Ynah π π alikuwa mpolee.. wakongwe ikatokea wakarudi wote paaap patanoga sanaa