Couple maarufu kuwahi kutokea hapa JamiiForums

Wewe ndio nyani ngabu au???

Wazee wenye jf Yao.
 
Ilikuwa ni km unawaambia JF members ni jinsi gani ulikuwa na upeo mdogo.......kila mtu analinda heshima yake hahahahahaha. Sehemu pekee ya kutamka haya ni kwenye ugomvi wa Chit Chat

CC: National Anthem
Nime mkumbuka mdada mmoja alikuwa anaitwa Ynah πŸ˜…πŸ˜… alikuwa mpolee.. wakongwe ikatokea wakarudi wote paaap patanoga sanaa
 
Nime mkumbuka mdada mmoja alikuwa anaitwa Ynah πŸ˜…πŸ˜… alikuwa mpolee.. wakongwe ikatokea wakarudi wote paaap patanoga sanaa
Ynah mdogo wangu jamani sijui yuko wapi. We Ynah wewe kama unanisoma hebu like hapa!

Nimesoma comment yako uliyoniqoute huko juu hadi nimecheka.

Binafsi nimeshaadmit, JF siwezi kuacha kuitumia, ni kakijiwe fulani hivi amaizing!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…