Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namtania tu niliona yote GMbona nimeitaja mara nyingi ulikuwa wapi?
Hapana sina kabisa tabia ya kufata mtu PM.. 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hukuzama piem kweli maana enzi zile pm zilikuwa hazijafungwaa
Yule english mingi, mie ushawai ona nime comment kizunguu humu 😅😅Hahaha ni wewe mkuu. Huu mwandiko wakwako kabisaaa.
Baraka zote na mapendo yote yakawe juu yenu 😍😍thank you pretty pie, usikome kutuombea...
Nakupendaga tu mimi.. 😍😍
Watu nahisi wamepumzika wengine wamekuja kivingineHivi @Klolokwini yukwapi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eeh siku hizi napitwa na mengi sana ...uzee huuSura iliwekwa halafu mtoa ushuhuda aliye ambukizwa alikuwa ana machungu anataja hadi Id nyingine zilizo ambukizwa ukiachana na yeye hapo ndipo balaa lilipo anza[emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi bibie,bado upogo chuga?Baraka zote na mapendo yote yakawe juu yenu 😍😍
Watu wangu na nusu ❤️❤️
WAtu wanaambukizana na hatujui 😶🌫️😶🌫️Kweli kuna uzi watu walikula life ban na uzi kufutwa maana ililetwa picha ya muambukiza wenzie VIviyuuuu😕
Hujaona Wazee nini[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eeh siku hizi napitwa na mengi sana ...uzee huu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni tabu kwa kweli, hapa watu wote wanaochat naona wageniMie nipo ila humu watu mnabadili username nakuwa hata siwajui tena [emoji23][emoji23][emoji23]
aaaaaaaw'...!!🥰🥰Baraka zote na mapendo yote yakawe juu yenu 😍😍
Watu wangu na nusu ❤️❤️
Ndio mimi sasa
Kumbukumbu zinakataa kujaunamkumbuka dada mmoja alikuwa anaitwa Marryhunbag kama sikoei .. mda umepita hivi
C.c system hacker
Ulitaka uniuee Kwa pressure??Namtania tu niliona yote G